Ninavyofahamu...ni kwmba...angalia ada ambayo umelipiwa...kisha Anglia ada husika unayotakiw kulipa chuoni....kama umelipiwa yote basi ni 100% kam chini ya hapo utapiga mahesabu...kwa tuition fee ulolipiwa...
nafasi zitakuw zimejaa maana hapo NIT kutoka kweny tcu guidebook inaonysh wanahitaj wanafunzi almost 150 per each program...na ukianglia number of apolicants selected kwa kila kozi inazid hyo idadi...
ingia kwa profile yako...kweny my application...utakuta alama ya delete na alama ya jicho...utabonyeza kwenye delete kufuta zile programz za mwanzo..then utaanz upya
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.