Kwani wametoa matokeo kwa kuzingatia namba&marks?mm nimeona majina ya waliofaulu kama kuna aliona alama alizopata pamoja na namba yake ya pepa anipe link please!
Hamna cha kikosi wala nn,mtoto wa nyoka ni nyoka xo cdhani kama kuna jipya kwenye baraza la mawaziri hapo ni kutengenezeana ulaji tu by the way kwa mnaoamini maisha bora kutoka ccm mnayo nafac.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.