nilicho gundua mitandao ina uwongo mwingi, pia maisha hayahitaji mbwembwe jamaa aliye kuwa anawatishia kuwafunga kamba ndo anahangaika sasa hivi mahabusu daaah
kuwapa waalimu na watendaji ni lazima na muhimu kwa ushindi wa chama
nimesota miaka 8 leo unipe nafasi ya kusimamia nikuache utawale tena lazima juu chini nikuondoe
waalimu na watendaji ni maelekezo tu ya kuua wapinzani
huu unaitwa ujuaji kupita kiasi
mimi niliwahi pima ikaja mistari mi 3, nikadata kama ww nikashinda mtandaoni kusoma dalili za ngoma nikawa nahisi ninao
nikasema liwalo na liwe hosp. nikapima sina mdudu
nikarudi miezi saba baadae sina
sasa ni miaka 10+ sina, hadi kuna kipindi nimepigiwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.