Recent content by zipompa

  1. zipompa

    JamiiForums Tanzania Hatukuumbiwa this much stimilation

    sema ile unapakua mziki waptrick inafika 99.5% alafu ina fail ilikuwa na hisia flani nzuri sana huzuni imejichanganya na furaha flani kwa mbali (huku unatukana kimtindo) mzee wangu alifanikiwa kuwa na kamera miaka ya 80 hadi 2000 alikua akitupiga picha mara kwa mara leo picha zile zimekuwa...
  2. zipompa

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Je! Ni sawa rafiki au ndugu yako akuombe uzae na mke wake?

    huyo jamaa ni wewe majibu yake yapo humu kuna kesi kama iyo iko humu polisi alipewa kazi amzalishe mke wa polisi mwenzake akaichapa ila hakuwahi fanikisha zoezi kumbe na yeye hana nguvu na wale watoto hawakuwa wake kumbe wa binamu wa mke wake sijui iliishaje ile kesi maana ilifika mahakamani
  3. zipompa

    JamiiForums Tanzania Mbona hao viongozi fake hawatupi uthibitisho wa watu kulipwa fedha, kuvunja amani, kukutwa na silaha

    upumbavu tu alafu kuna mtu ni waziri anaongea huu utoto kwa kudhani atasikilizwa kwa uwaziri wake kumbe anaonekana mpumbavu tu alafu shida ya mpumbavu huwa hana aibu wala hajishtukiii kama anaonekana mpumbavu yeye huhisi anaonekana mtu wa maana sana
  4. zipompa

    JamiiForums Tanzania Mwigulu Nchemba acha uongo wewe!

    jamaa bado ana siasa za mwaka 47 kila nikikumbuka kale kavideo alitenganeza eti kuonesha watu wana mpango wa kufanya fujo sijui kulipua mabomu kwenye mkutano naona kabisa jamaa bado ana u bush bush mwingi kwa head na hauwezi mtoka kamwe
  5. zipompa

    JamiiForums Tanzania Maandamano makubwa yaitishwe nchi nzima kupinga kauli ya Waziri Katambi kuzuia mikutano ya kisiasa kinyume na katiba. Katambi ajiuzuru

    kwamba katambi anajielewa kuliko heche hapo ulipo 90% ya mahitaji yako na vifaa ni vitu toka nje ila unajifanya hutak mawazo yao miundombinu karibu yote ni mkono wake ila akikwambia acha ujinga unakaza fuvu
  6. zipompa

    JamiiForums Tanzania Umewahi kufikia hatua ya kuzima simu kwa siku nzima au zaidi kukwepa calls na messages ?

    hii dawa n chungu mno, hapa jamaa ananidai kama 500k asha nigongea simu kwamba j2 ataenda sehemu hivyo anahitaji maandalizi ya safari ko kesho nimlipe alafu mimi natembelea ringi hapa
  7. zipompa

    JamiiForums Tanzania Aliyekuwa Mganga Mkuu wa Serikali, Dkt. Grace Elias Magembe ateuliwa kuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya

    barua ya kumtumbua katambi iko njiani
  8. zipompa

    JamiiForums Tanzania Waziri Katambi apiga marufuku mikutano ya siasa kwa vyama vyote

    wakati anawajibishwa pia uwe nae bega kwa bega
  9. zipompa

    JamiiForums Tanzania Waziri Katambi apiga marufuku mikutano ya siasa kwa vyama vyote

    tukienda kwenye mikutano na zile hela tunatoa kuchangia chama huwa anatupa mamako
  10. zipompa

    JamiiForums Tanzania Waziri Katambi apiga marufuku mikutano ya siasa kwa vyama vyote

    dogo alitaka kubato na heche kapigwa spana mbili kakimbilia kujitutumua hata kwa kitu hana mamlaka nacho spana atapigwa tu hata kwenye mitandao
  11. zipompa

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Umeshawahi kukata tamaa ya maisha? Ipi ilikuwa sababu

    nimeumizwa sana na kauli ya kibwege kufungia mikutano sijui kama ntapona kwa hili
  12. zipompa

    JamiiForums Tanzania Waziri Katambi apiga marufuku mikutano ya siasa kwa vyama vyote

    sasa ccm alikuwa na impact gani ye mwenyewe anafurah maana moto uliokuwa anapelekewa ulikuwa mkubwa mno
  13. zipompa

    JamiiForums Tanzania Waziri Katambi apiga marufuku mikutano ya siasa kwa vyama vyote

    ila chadema wajinga sana, wanapeleka moto balaa waliona wakimfunga TL wamemaliza changamoto imeibuka mashine nyingine hakuna siku nilicheka kama alipo sema kama shule aliyo soma ingekuwa ya CCM angeacha shule yule dogo anaye omba mdahalo na heche aaambiwe kabisa wakubwa zake wametupa taulo...
  14. zipompa

    JamiiForums Tanzania Waziri Katambi apiga marufuku mikutano ya siasa kwa vyama vyote

    wale wanao zurula mitaani huwa unawalisha wewe ama serikali yako chakavu inawapa ruzuku
Back
Top Bottom