izo ni porojo mkuu na wala haupo huko
nikwambie tu siku hizi hawaruhisi saini nyaraka wala kupitisha fedha za vyama
zaidi wamebaki kukagua tu tena baada ya miezi mi 3, mbaya zaidi kuna mfumo sio holela holela
naona ww unaongea kizamani hujui sasa ivi hali ipoje
huwa sipendi kusikia mlio wake (king'ora) ama kukutana nayo nikiwa na ma mkubwa wangu
maana huwa anaanza kukumbuka mwanae alibebwa huko na hakurudi mzima
utamsikia akiongea kwa masikitiko kwamba wengine huwa wana bebwa na kurudi wazima kwa nini mwanae hakurudi
kinacho fuata ni kimya cha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.