namba ya simu (maana ni namba moja )
namba za simu (maana yake mpe zote za mitandao yote uliyo nayo)
zote zi sahihi kulingana na unataka namba 1 (ya) ama mitandao yote/nyingi/tofauti (za)
hahaha useme na kutangaza wewe kuna magaidi
ila hutaki tena dunia iambiwe kuna magaidi msije huku kwa kisingizio cha kuharibu biashara na utalii
kwani unapo sema ww na wenzako kuna ugaidi na magaidi hujui kuna utalii na biashara
hizi tuhuma kiukweli zingechunguzwa, ila sasa watoa tuhuma wanasababisha watu waone ni upuuzi wa kijinga jinga
1. mtoa tuhuma n ccm mfano, shekhe mwaipopo na mchome
2. mtu had anajipachika wadhifa wa mtu wa chadema kuonesha anataka uchunguzi ( yule jamaa wa pwani)
3. watu wa chauma ambao...
jamaa kapewa tu cheo ila uelewa wake unapata mashaka sana na hapo yupo kazini zaidi ya miaka 30 ila haelewi sheria wala kanuni za gereza
hawa ndo wazee wa nna uzoefu wa kutosha, kumbe uzoefu wenye kasoro kibao
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.