Recent content by zipompa

  1. zipompa

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Nasikia Simbachawene ameambiwa apige jeramba kuna sub inafanywa

    katika watu huwa siwakubali n pamoja na simbachawene, kairuki marehem j muhagama na makonda
  2. zipompa

    JamiiForums Tanzania Wahadhiri 100 kuchanga sh laki tano pekee kwa Mhadhiri wa UDOM anae shitakiwa kwa ugaidi. Je huu ndio ujumbe wanao upeleka kwa serikali ya Samia? 👇👇

    vile unafunza watu kuwa waoga na kuheshimu wapumbavu kwa akili hizi sidhani kama tungeweza kuwa huru
  3. zipompa

    JamiiForums Tanzania FT: Namungo FC 1-3 Yanga SC | Ligi Kuu | Majaliwa Stadium | 15 Agosti, 2026 | Wenye Pesa Mfuko wa Shati hawataki utani

    mwenyewe sijakiona ila had nimeogopa
  4. zipompa

    JamiiForums Tanzania Jaji Warioba: Nashangaa kuona watu wanakamatwa na polisi, wanapelekwa mahakamani kwa shitaka ya ugaidi

    kwamba siku hizi kutoa mafunzo ya kukataa wizi, utekaji ni uhalifu
  5. zipompa

    JamiiForums Tanzania Lissu: Kama pumzi imekata wafunge ushahidi

    acha tu kukumbushwa majaji nao viazi tu wanajifunza mengi kwa TL jana anasema mashahidi waletwe kwa wingi, kesho anakujibu shahidi kapata udhuru unaona majaji wanajielewa kweli, wangekua wanajielewa wasinge chezea hivyo
  6. zipompa

    JamiiForums Tanzania Uzinzi Unaua Akili Yako. Acha Uzinzi.

    siku isiyo na jina uzinzi uta kuaibisha tu ila hakuna namna maana una raha zake.
  7. zipompa

    JamiiForums Tanzania Kama 2PAC alikufa akiwa na miaka 25 basi wenzetu uko USA hupata fursa wakiwa wadogo sana

    ulaya mtu mzima anaanzia miaka 18 (hapa ana akili timamu ) kwetu mtu mzima huanza na miaka 40
  8. zipompa

    JamiiForums Tanzania FT | Yanga SC 1-0 Simba SC | Ngao ya Jamii | New Amaan Complex | 12.08.2026 | Yanga mabingwa

    hawana ili hali wameshinda yanga wanacheza kwa malengo nyau wanaruka ruka tu
  9. zipompa

    JamiiForums Tanzania FT | Yanga SC 1-0 Simba SC | Ngao ya Jamii | New Amaan Complex | 12.08.2026 | Yanga mabingwa

    alisikika mlevi mmoja
  10. zipompa

    JamiiForums Tanzania FT | Yanga SC 1-0 Simba SC | Ngao ya Jamii | New Amaan Complex | 12.08.2026 | Yanga mabingwa

    dk 90 itasoma 3-0
  11. zipompa

    JamiiForums Tanzania FT | Yanga SC 1-0 Simba SC | Ngao ya Jamii | New Amaan Complex | 12.08.2026 | Yanga mabingwa

    lawama zote kwa osimen
  12. zipompa

    JamiiForums Tanzania FT | Yanga SC 1-0 Simba SC | Ngao ya Jamii | New Amaan Complex | 12.08.2026 | Yanga mabingwa

    uje umekula kabisa maana unaweza shindwa kula siku 2-3
  13. zipompa

    JamiiForums Tanzania FT | Yanga SC 1-0 Simba SC | Ngao ya Jamii | New Amaan Complex | 12.08.2026 | Yanga mabingwa

    kama wa kumtambulisha selle bila kifatilia je? ni kweli anakuja kwako
  14. zipompa

    JamiiForums Tanzania FT | Yanga SC 1-0 Simba SC | Ngao ya Jamii | New Amaan Complex | 12.08.2026 | Yanga mabingwa

    angalia pira la wanaume hakuna papara mdg mdg wanakuja vijana hoiii
  15. zipompa

    JamiiForums Tanzania FT | Yanga SC 1-0 Simba SC | Ngao ya Jamii | New Amaan Complex | 12.08.2026 | Yanga mabingwa

    ndani ya dk izo lazima umlaume osimen wa kuchovya
Back
Top Bottom