Recent content by zipompa

  1. zipompa

    JamiiForums Tanzania Wataalamu wa lugha ya Kiswahili naomba mnisaidie katika hili 👇.

    tarakimu 10 ndo ukamilifu wa namba moja (ya) simu
  2. zipompa

    JamiiForums Tanzania Wataalamu wa lugha ya Kiswahili naomba mnisaidie katika hili 👇.

    namba ya simu (maana ni namba moja ) namba za simu (maana yake mpe zote za mitandao yote uliyo nayo) zote zi sahihi kulingana na unataka namba 1 (ya) ama mitandao yote/nyingi/tofauti (za)
  3. zipompa

    JamiiForums Tanzania House For Sale at Victoria Makumbusho

    iko vyema, maane ndio yenye bati jipya mtaa mzima
  4. zipompa

    JamiiForums Tanzania Kongole sana Gen Z, kwenye burudani hampoi na hamboi kabisa! 😂👏

    pongezi ziendane na michango ya tone tone
  5. zipompa

    JamiiForums Tanzania Ukilewa usichat na usitoe hotuba, kongole wasaidizi kwa hili

    hizi stori huwa n kweli kwamba .........huwa ni pampula
  6. zipompa

    JamiiForums Tanzania Tone Tone ya Baraza Kuu la Chadema yazidi Kutikisa Nchi, sasa imebakia Mil 100 kukamilisha lengo

    kufahamu na kuhusika ni mambo mawili tofauti mkuu
  7. zipompa

    JamiiForums Tanzania Houthis yalipua matenki mafuta ya ARAMCO, Saudia

    zamani nilijua jamaa wana akili balaa
  8. zipompa

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Kuna Mwanasiasa anavuka Red line soon.

    hahaha useme na kutangaza wewe kuna magaidi ila hutaki tena dunia iambiwe kuna magaidi msije huku kwa kisingizio cha kuharibu biashara na utalii kwani unapo sema ww na wenzako kuna ugaidi na magaidi hujui kuna utalii na biashara
  9. zipompa

    JamiiForums Tanzania Mtwara-Ahukumiwa kwenda jela miaka 18 kwa kusugua uume wake sehemu ya haja kubwa ya mlemavu

    yaan akachezea hadi akautupa daaah hii dunia ina wapumbavu sana
  10. zipompa

    JamiiForums Tanzania Kwanini CHADEMA wameshindwa kumchunguza Heche?

    lema, sugu,boni walisema wapi?
  11. zipompa

    JamiiForums Tanzania Kwanini CHADEMA wameshindwa kumchunguza Heche?

    watoa tuhuma wamekuwa na maisha ya anasa baada ya tuhuma ndio tunajiuliza fedha za safari na maradhi anawapa nani
  12. zipompa

    JamiiForums Tanzania Kwanini CHADEMA wameshindwa kumchunguza Heche?

    hizi tuhuma kiukweli zingechunguzwa, ila sasa watoa tuhuma wanasababisha watu waone ni upuuzi wa kijinga jinga 1. mtoa tuhuma n ccm mfano, shekhe mwaipopo na mchome 2. mtu had anajipachika wadhifa wa mtu wa chadema kuonesha anataka uchunguzi ( yule jamaa wa pwani) 3. watu wa chauma ambao...
  13. zipompa

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Lissu: Bwana Jela wa Ukonga, Andrew Ntamamiro akifanyiwa dodoso na Tundu Lissu - Siku ya kwanza

    bwege sana wakati yeye ndo muhusika
  14. zipompa

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Lissu: Bwana Jela wa Ukonga, Andrew Ntamamiro akifanyiwa dodoso na Tundu Lissu - Siku ya kwanza

    bwana jera hadi yeye anashangaa matendo yake
  15. zipompa

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Lissu: Bwana Jela wa Ukonga, Andrew Ntamamiro akifanyiwa dodoso na Tundu Lissu - Siku ya pili

    jamaa kapewa tu cheo ila uelewa wake unapata mashaka sana na hapo yupo kazini zaidi ya miaka 30 ila haelewi sheria wala kanuni za gereza hawa ndo wazee wa nna uzoefu wa kutosha, kumbe uzoefu wenye kasoro kibao
Back
Top Bottom