Recent content by zipompa

  1. zipompa

    Shukuru Kawambwa kwenye Kashfa ya Udalali wa Viwanja

    nilicho gundua mitandao ina uwongo mwingi, pia maisha hayahitaji mbwembwe jamaa aliye kuwa anawatishia kuwafunga kamba ndo anahangaika sasa hivi mahabusu daaah
  2. zipompa

    Ajira Tume ya uchaguzi iangalie wanaosota mitaani badala ya kuajiri Walimu

    kuwapa waalimu na watendaji ni lazima na muhimu kwa ushindi wa chama nimesota miaka 8 leo unipe nafasi ya kusimamia nikuache utawale tena lazima juu chini nikuondoe waalimu na watendaji ni maelekezo tu ya kuua wapinzani
  3. zipompa

    Kwa dalili hizi Ninahisi nina maambukizi ya VVU

    hii ni tafiti mpya, inakinzana na ile ya miezi mitatu hii itakuwa toka chuo kikuu kampala
  4. zipompa

    Nyumba ni kaburi lililojengwa juu ya ardhi

    mawazo yako uko sawa mkuu
  5. zipompa

    Nyumba ni kaburi lililojengwa juu ya ardhi

    shida iko wap
  6. zipompa

    Nyumba ni kaburi lililojengwa juu ya ardhi

    mabandiko mengine yanachekesha sana
  7. zipompa

    Kwa dalili hizi Ninahisi nina maambukizi ya VVU

    huu unaitwa ujuaji kupita kiasi mimi niliwahi pima ikaja mistari mi 3, nikadata kama ww nikashinda mtandaoni kusoma dalili za ngoma nikawa nahisi ninao nikasema liwalo na liwe hosp. nikapima sina mdudu nikarudi miezi saba baadae sina sasa ni miaka 10+ sina, hadi kuna kipindi nimepigiwa...
  8. zipompa

    FT: Yanga 2 - 1 Simba | Ligi Kuu ya NBC | Uwanja wa Benjamini Mkapa | 20/04/2024

    mkuu hii ilikuwa badi ujue n tofauti na nyingine
  9. zipompa

    FT: Yanga 2 - 1 Simba | Ligi Kuu ya NBC | Uwanja wa Benjamini Mkapa | 20/04/2024

    kwamba ile penati ya mchongo, alijiangusha ama
  10. zipompa

    FT: Yanga 2 - 1 Simba | Ligi Kuu ya NBC | Uwanja wa Benjamini Mkapa | 20/04/2024

    walienda zanzibar kupunguza goli toka 5 hadi 2
  11. zipompa

    FT: Yanga 2 - 1 Simba | Ligi Kuu ya NBC | Uwanja wa Benjamini Mkapa | 20/04/2024

    hawawafikii yanga, watu wamekuja wakijiamini huwa hawapigwi mara mbili yanga kawaudhi sana
  12. zipompa

    FT: Yanga 2 - 1 Simba | Ligi Kuu ya NBC | Uwanja wa Benjamini Mkapa | 20/04/2024

    aliwahamasisha sana wajitahidi goli zisizidi nne (4) alijua wanapigwa ila juu chini zisizidi nne
  13. zipompa

    FT: Yanga 2 - 1 Simba | Ligi Kuu ya NBC | Uwanja wa Benjamini Mkapa | 20/04/2024

    hadi chama anacheza faulo kweli hali tete
  14. zipompa

    FT: Yanga 2 - 1 Simba | Ligi Kuu ya NBC | Uwanja wa Benjamini Mkapa | 20/04/2024

    tunaomba refa na kamisaa waruhusu inonga arudi uwanjani (sheria ivunjwe tu) maana wamesha anza lalamika wanafungwa kwa kuwa inonga hayupo
Back
Top Bottom