sema ile unapakua mziki waptrick inafika 99.5% alafu ina fail ilikuwa na hisia flani nzuri sana huzuni imejichanganya na furaha flani kwa mbali (huku unatukana kimtindo)
mzee wangu alifanikiwa kuwa na kamera miaka ya 80 hadi 2000 alikua akitupiga picha mara kwa mara
leo picha zile zimekuwa...
huyo jamaa ni wewe
majibu yake yapo humu kuna kesi kama iyo iko humu polisi alipewa kazi amzalishe mke wa polisi mwenzake akaichapa ila hakuwahi fanikisha zoezi
kumbe na yeye hana nguvu na wale watoto hawakuwa wake kumbe wa binamu wa mke wake
sijui iliishaje ile kesi maana ilifika mahakamani
upumbavu tu
alafu kuna mtu ni waziri anaongea huu utoto kwa kudhani atasikilizwa kwa uwaziri wake kumbe anaonekana mpumbavu tu
alafu shida ya mpumbavu huwa hana aibu wala hajishtukiii kama anaonekana mpumbavu yeye huhisi anaonekana mtu wa maana sana
jamaa bado ana siasa za mwaka 47
kila nikikumbuka kale kavideo alitenganeza eti kuonesha watu wana mpango wa kufanya fujo sijui kulipua mabomu kwenye mkutano
naona kabisa jamaa bado ana u bush bush mwingi kwa head na hauwezi mtoka kamwe
kwamba katambi anajielewa kuliko heche
hapo ulipo 90% ya mahitaji yako na vifaa ni vitu toka nje ila unajifanya hutak mawazo yao
miundombinu karibu yote ni mkono wake ila akikwambia acha ujinga unakaza fuvu
hii dawa n chungu mno, hapa jamaa ananidai kama 500k asha nigongea simu kwamba j2 ataenda sehemu hivyo anahitaji maandalizi ya safari ko kesho nimlipe alafu mimi natembelea ringi hapa
ila chadema wajinga sana, wanapeleka moto balaa
waliona wakimfunga TL wamemaliza changamoto imeibuka mashine nyingine
hakuna siku nilicheka kama alipo sema kama shule aliyo soma ingekuwa ya CCM angeacha shule
yule dogo anaye omba mdahalo na heche aaambiwe kabisa wakubwa zake wametupa taulo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.