Recent content by zipompa

  1. zipompa

    Hivi cooperative officer ii wana maisha kweli?

    izo ni porojo mkuu na wala haupo huko nikwambie tu siku hizi hawaruhisi saini nyaraka wala kupitisha fedha za vyama zaidi wamebaki kukagua tu tena baada ya miezi mi 3, mbaya zaidi kuna mfumo sio holela holela naona ww unaongea kizamani hujui sasa ivi hali ipoje
  2. zipompa

    Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?

    huwa napenda soma michango ya wadau hasa wakieleza vile wimbo unaimba yaani ni burudani tosha
  3. zipompa

    Kiongozi anasimama anasema foleni inasababishwa na magari machafu yasiyo na AC

    Umesababisha nirudi nikakiangalie alafu nikawaza kauli zake za kibwege bwege nkahitimisha uko sawa sawa
  4. zipompa

    Mwigulu: Tusijifiche kwenye kichaka cha HAKI bila WAJIBU

    mkuu unajua kupangilia aya vizuri ila mbaya zaidi huna akili wala hoja ya maana
  5. zipompa

    Mjadala huru: Zipi hisia zako unapoona ambulance?

    huwa sipendi kusikia mlio wake (king'ora) ama kukutana nayo nikiwa na ma mkubwa wangu maana huwa anaanza kukumbuka mwanae alibebwa huko na hakurudi mzima utamsikia akiongea kwa masikitiko kwamba wengine huwa wana bebwa na kurudi wazima kwa nini mwanae hakurudi kinacho fuata ni kimya cha...
  6. zipompa

    Tuna ugeni wa kimya kimya

    shekhe sharif majini nae anapiga pesa ama yuko wapi
  7. zipompa

    DOKEZO Jeshi la Polisi Arusha limchukulie hatua Askari huyu aliyempora Mwandishi kamera akiwa kazini

    wewe mwenyewe hutaki mtaja jina ila unataka achukuliwe hatua
  8. zipompa

    Polepole ameishajivua gamba la Ukristo?

    sababu zilizo nje ya uwezo wake unajua anakumbana na nini had kushindwa kuanza muda alio sema
  9. zipompa

    GE2025 Kilosa - Morogoro: Wana-CCM wadaiwa kupata ajali wakiwa kwenye lori wakielekea kwenye mkutano wa Samia Suluhu

    inasikitisha sana maana walitakiwa wafe wote hii kusalimika inauma sana
  10. zipompa

    Namna pesa inabadilisha vijana kwenye mahusiano.

    mahusiano ya sasa hivi kama huna kitu hupati mapenzi mpz anataka abaya jipya wewe unaleta stori za vumilia mpz ipo siku nawe utapendeza
  11. zipompa

    Tetesi: Yawezekana Ndani ya mwezi wa Tisa 2025 Jamaa anaachiwa Huru

    lissu haropoki anasema ya kweli
  12. zipompa

    Tetesi: Yawezekana Ndani ya mwezi wa Tisa 2025 Jamaa anaachiwa Huru

    hapo ndio huwa namkubali jamaa, yaani hawezi piga mikutano mi 2-3 ajawalipua
  13. zipompa

    Polepole na tuhuma za uongo dhidi ya mradi wa JNHPP

    kwamba ubadhirifu wote unaonwa na kusemwa na CAG uko sawa ameona mangapi na kayasemea na hakuna hatua yoyote imewahi chukuliwa
  14. zipompa

    Ushawahi mkomesha demu aliyekuletea janja janja

    mimi huwa nampa hela hadi mwenyewe anasema sijawah ona mtu mkarimu kama wewe hadi ananitunuku
Back
Top Bottom