kuna mawili
1. huna akili
2. una ujuaji wa kijinga
kwa nini nimesema hivyo, ukimsikiliza alisema tangu wanamshika walifanikiwa mfunga pingu na zile purukushani za awali na akiwa kwenye buti la gari ya watekaji pingu zilikuwa zinajibana ukiongeza na kukimbia zinajibana zaidi
je ww ulitaka...
kuna watu wanatoa majibu ya kibwege sana, kwamba hamna mtu hapo, tena mnamwita kilaza
basi mngeonesha ujuzi wenu kwa kutoa ushauri wa maana huyu afanye nini?
kuna watu wana ufaulu huo na kichwani wako vizuri sana kuzidi hata sisi tunao toa ushauri wa maneno 2 kilaza huyo
kama wakufunzi wenyewe ni kina kabudi acha avitukane tu
kama wanafunzi ndo wale walivaa juzi never again wakaandamana kwa Wingi wana haki ya kutukanwa
naunganana na mtatiro vijana wa sasa wa elimu ya juu (sugu asha maliza)
siku hizi chuki iko wazi mno, naiona chuki pia inaanza kwenda hadi kwa wafanyakazi wa serikali na wananchi
mwingine anashauri watu wapande magari ya jeshi kurudisha umoja
zamani watu waliwapenda wasanii na wanajeshi siku hizi ni tofauti kabisa tunawaombea matatizo
kwa imani zetu za kiafrika na kishirikina tuna amini kwamba
unaweza tumiwa kitu kibaya, ila kabla hakijakudhuru (kikitaka damu) basi kianze na wanyama kabla ya kukufikia wewe na familia
unaweza fikiria ni porojo kwa kuwa tu huamini ila kuna ukweli flani
kuna wakati unaweza amka ukakuta...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.