Recent content by zipompa

  1. zipompa

    JamiiForums Tanzania Mikono ya Jumbe yafunguliwa pingu na Polisi ikiwa imevimba kwa kufungwa pingu Jana Baada ya kutekwa

    kuna mawili 1. huna akili 2. una ujuaji wa kijinga kwa nini nimesema hivyo, ukimsikiliza alisema tangu wanamshika walifanikiwa mfunga pingu na zile purukushani za awali na akiwa kwenye buti la gari ya watekaji pingu zilikuwa zinajibana ukiongeza na kukimbia zinajibana zaidi je ww ulitaka...
  2. zipompa

    JamiiForums Tanzania Ushauri wa short course au full Kwa mhitimu wa kidato cha nne ufaulu wa point 27

    kuna watu wanatoa majibu ya kibwege sana, kwamba hamna mtu hapo, tena mnamwita kilaza basi mngeonesha ujuzi wenu kwa kutoa ushauri wa maana huyu afanye nini? kuna watu wana ufaulu huo na kichwani wako vizuri sana kuzidi hata sisi tunao toa ushauri wa maneno 2 kilaza huyo
  3. zipompa

    JamiiForums Tanzania Julius Mtatiro kwenye hili umefeli sana bro

    kama wakufunzi wenyewe ni kina kabudi acha avitukane tu kama wanafunzi ndo wale walivaa juzi never again wakaandamana kwa Wingi wana haki ya kutukanwa naunganana na mtatiro vijana wa sasa wa elimu ya juu (sugu asha maliza)
  4. zipompa

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Jaji Warioba: Vyama vya Siasa vimegawa Watu, imefika mahali siku hizi kiongozi anafariki watu wanasherehekea

    siku hizi chuki iko wazi mno, naiona chuki pia inaanza kwenda hadi kwa wafanyakazi wa serikali na wananchi mwingine anashauri watu wapande magari ya jeshi kurudisha umoja zamani watu waliwapenda wasanii na wanajeshi siku hizi ni tofauti kabisa tunawaombea matatizo
  5. zipompa

    JamiiForums Tanzania Nani anayemlazimisha Asharose Migiro kuvaa Mahijabu na Mabaibui? Ni kumkosea sana

    ko kaanza juzi kujistili ama ndo ile shetani akizeeka
  6. zipompa

    JamiiForums Tanzania Nani anayemlazimisha Asharose Migiro kuvaa Mahijabu na Mabaibui? Ni kumkosea sana

    uchawa effect huyu ajalazimishwa sema uchawa unamfanya atafute namna ya kumfurahisha mwajili wake
  7. zipompa

    JamiiForums Tanzania Serikali ya Tanzania yadaiwa kuwazuia Wabunge wa Ulaya (EU) Kufanya Ziara Nchini

    kwani sisi na gaza tuna tofauti gani
  8. zipompa

    JamiiForums Tanzania Panga pangua CCM: Dkt. Migiro kung'atuka, Wasira naye kuondoka

    kwanza katibu n kama hataki tu tangu achaguliwe anaona aibu hata kujitokeza kusema lolote
  9. zipompa

    JamiiForums Tanzania At least sisi bodaboda hatutafikiwa na AI, wasomi mjiandae kuwa jobless

    iyo teknolojia kufika malawi na kutumiwa sio leo huko kazini serikalini ndo kabisaaaa
  10. zipompa

    JamiiForums Tanzania Jitahidi sana katika Nyumba yako ama ufuge hawa Wanyama wote au basi hakikisha mmoja wao unamfuga utakuja Kunishukuru siku moja

    kwa imani zetu za kiafrika na kishirikina tuna amini kwamba unaweza tumiwa kitu kibaya, ila kabla hakijakudhuru (kikitaka damu) basi kianze na wanyama kabla ya kukufikia wewe na familia unaweza fikiria ni porojo kwa kuwa tu huamini ila kuna ukweli flani kuna wakati unaweza amka ukakuta...
  11. zipompa

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mbona kama waislamu mna pisi kali nyingi sana

    waislamu wengi ni wazuri sana kiukweli ila shida yao kubwa ipo kwenye unafiq, kichwani hakuna kitu na wengi sio wachoyo
Back
Top Bottom