Nawaza au kutafakari tu!
1. Aliahidi Elimu Bure, Imewezekana - ametekeleza!
2. Akasema atadumisha nidhamu ya wataumishi, ametekeleza!
3. Akasema atapunguza matumizi ya serikali, kweli tumeona!
4. Akasema atapambana na wanaokiuka kanuni za matumizi ya fedha za umma, kweli tunaona!
5. Hili la...
ewe unayejiita Gsam
Kwanini ufanye jambo eti kwa sababu fulani kafanya.
KWANI wewe huna akili za kutafakari?
kwa nini uige?
Sababu za maamuzi ya mwenzako unazijua?
Wingi wa mali za tz zinazouzwa Ulaya ukilinganisha na kenya unaujua?
Tambua mipaka yako ili uwe na maamuzi yako.
Tanzania haiwezi...
mzazi mwenzangu umenisikitisha sana kwa kutosimamisha hilo gari wala kumwambia dereva au matron. ulipaswa kusimamisha gari na kuchukua hatua. kumbuka mtoto wa mwenzako ni mtoto wako pia. Zamani kulikuwa na adabu kwa sababu mtu yoyote aliye mkubwa aliruhusiwa kukuchukulia hatua.
any way ukiacha...
ndugu yangu kada wa chama,
hoja yako haijapimwa kisayansi. Watu wote wenye shahada za sayansi iwe ni ufundi, kilimo, mifugo, wamesoma na kufaulu vizuru masomo ya sayansi kidato cha sita. Hivyo wanazo sifa za msingi za kuwa walimu wa sayansi. aidha, wameongeza ufahamu wao katika masomo hayo ya...
Nimetafakari kwa kina maelezo ya Tundulisu . Naomba kumuuliza yafuatayo?
1. kwa nini unamuuuliza msajili maswali ambayo majibu yake unayajua?
2. Niccollo Machiaveri alikuwa mbobezi wa siasa na harakati za uliberali. je alifanikiwa kuongoza? kwa nini?
3. Nani mwenye hekima ya dhahiri kati ya...
Tunaomba wanazuoni mliobobea kwenye fatcs, hususan zilizopatikana baada ya utafiti ni kweli kwamba sefu alimhujumu mzee jumbe? kwani baadhi walipost humu kwamba sefu alimhujumu na wengine wakajibu pia humuhumu kuwa sefu hakumhujumu mzee wetu aliyehakikisha Zanzibar inakuwa na Katiba yake.
Anayefahamu historia ya Tundulisu atuweke wazi kwani mambo anayofanya ni tofauti kabisa na taaluma yake au anatafuta kitu anachokijua. Huwezi kutukana mtu hadharani. There is a problem somewhere inabidi wataalam watusaidie kumchunguza
Utaendelea kuwatafuta sana sumatra kama lilivyo jina lako, ukweli ndo huo nauli ulitoa kwa hiyari yako ungeona hawatendi haki ungetoa taarifa polisi ambao wapo palepale kituoni. usilete povu huku.
Huku ni kusumbua watu, nauli ulilipa bila kulazimishwa halafu unataka kuleta mabishano huku, ulitakiwa upande na uwaambie hulipi nauli zaidi ya iliyopangwa. Tatizo letu ni kutaka tusaidiwe kila kitu hadi kutetea haki zetu. Sumatra walishatangaza nauli na gredi za mabasi hivyo usiwasumbue
Namshangaa sana mtu yoyote anayepinga kuhamia dodoma. Hebu someni history muone faida za Marekani kuhama newyork kwenda washington, Nigeria kuhama Lagos kwenda Abuja, India kuhama calcuta kwenda delhi, na nchi nyingine zilizohamisha miji miku kama vile Australia, Malawi, Brazil n.k
Tauche kupiga...
Kunamengi yamefanyika ikiwa ni pamoja na kulipa cash manunuzi ya ndege achilia mbali, kulipa madeni ya wakandarasi n.k Kwa magufuli fedha inadhibitiwa kwa kiasi fulani hivyo ufujaji umepungua sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.