*USIPOKUBALI UONGOZI BASI KUBALI KUONGOZWA NA ASIYEJUA UONGOZI*
Ndugu yangu mTanzania, nakusalimu Sana popote ulipo.
Kwa mara nyingine, nitumie fursa hii tena kwa pamoja nawe, kutafakari juu ya Jambo muhimu kabisa kwa taifa letu.
[emoji117]Ni miaka mitano imepita tangu kufanyika kwa uchaguzi...
*TUKIO LA MOROGORO LITUONGEZE JICHO LA TATU*
Kwanza kabisa nitumie wino huu kuungana na mamilioni ya waTanzania wenzangu *kutoa pole kwa wote waliopoteza wapendwa wao* katika tukio la ajali lililotokea mkoani Morogoro, na M/Mungu azirehemu roho za wapendwa wetu walipoteza maisha kwenye tukio...
*KARIBUNI TENA MAJIMBONI WAH. WABUNGE*
[emoji117]Kwa mujibu wa katiba yetu ya JMT '77 kazi/wajibu/jukumu la Mbunge ni:
1:Ni kiungo/daraja kati ya *wananchi na serikali*
Maana yake anao wajibu wa kuhakikisha anawaunganisha wananchi na serikali yao kwa *kuyachukua matatizo/changamoto za...
Siku zote MNA maneno mengi HVO, ila mtake mistake mshahara mtaenda kulipia kizimbani, kama mnadhani atawapigia magoti nyie ndo mtaenda kupiga magoti kizimbani, mabwana zako wanajua kinachoenda kuwatokea
Sent using Jamii Forums mobile app
Ameshaanza kuwaadhibu kwa kuwanyang'anya fikra zao, ndo maana unaona wamekuwa waropokaji na wakurupukaji bila kufikiria
Sent using Jamii Forums mobile app
Bunge linaendeshwa kwa mujibu Wa sheria, mahakama itasema kama ni sahihi kuzuia mshahara Wa Mbunge kinyume na sheria, na pengine naona serikaki inavokwenda kujivua nguo yenyewe kwa kufanya mambo kishabiki
Sent using Jamii Forums mobile app
Haya ni madhara ya MTU Mmoja kuliamulia Taifa, kwa sasa wengi ni vipofu Wa akili, ila baada ya miaka mingi ndipo watastuka, wakati huo tutakuwa tumechelewa na haitatusaidia, ni vyema tukayathamini mawazo ya waTz wenzetu badala ya kuwaita makoadi Wa mabeberu kumbe ndio ambao wanaiona dunia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.