Recent content by zinduna joka kubwa

  1. Z

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Wee utakuwa mwalimu kweli au mtumishi wa mwalimu mbona lugha unayotumia co nzuri,utakuwa professional wa matusi co ualimu,ndio mana unataka kuhama huko uliko kwa kuwa umekutana na wastaarabu mitusi hawaijui kwa hiyo unakosa raha,unataka uwe jarani na vijiwe vya wahuni.
  2. Z

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Raskaka maisha popote,hacha utoto wa mama fanya kazi ----- wee
  3. Z

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Nimewavumilia muda,ivi mkifanya kazi kwenye vituo mlivyopangiwa kuna tatizo gani,walimu mnatia kichefuchefu,kama ndio ivyo wakuu wa mikoa na wa wilaya nao wakisha teuliwa wabadilishane mikoa fanyeni kazi acheni ubwege.
  4. Z

    CRDB Kuanza kutoza makato mapya

    We unasema nakato siku iz kuna njia nyingi za kukuchukulia pakee yako mikadi yao yenyewe mibovu,nimekwisha badilishiwa kadi si chini ya 3,na nikifika wananiambia inapaswa nilipie,nimeamua kuisusa iyo a/c nimeenda bank nyingine,aiwezekani kadi miezi 3 mbovu,crdb badilikeni.
  5. Z

    Rais Kikwete aongea na Wazee wa Dar: Adai pesa za Escrow ni za IPTL. Uteuzi wa Tibaijuka watenguliwa

    Mnyaturu hapo pana tatizo,mkuu wa kaya kapitea,mbona pinda alimwambia harudu kutoka kwa wavuna mafuta,huyo mtu ana cheo gani kuliko Pinda,watanzania endeleeni kuzinduka mpaka kieleweke,tumewachoka na ccm yao.
Back
Top Bottom