CRDB Kuanza kutoza makato mapya

CRDB Kuanza kutoza makato mapya

Hayo ndiyo MAISHA BORA kwa kila Mtanzania.
 
Sio crdb tu ni mabank yote TRA wameongeza 10% kwa charges zoteza huduma za kibank zitolewazo na bank husika


.. nyumbani kwangu nina kibubu kizuri, siweki pesa benki tena, kuepuka makato yasiyokuwa na tija kwangu.

"nitajitahidi muda wote' pesa yangu iwe kwenye mzunguko"
 
Baadae wakuu nitaenda kupiga picha tangazo ilo niwabadndikie.

Ni makato katika miamala, maintanance charges, service fees etc.

Kwa kifupi, ni pia yale makato yazamani yatakua juu kidogo, ila eti hayatawaumiza sana.

Njoo tu lakini hatutokuruhusu kuingia ndani ya benki Kaka Jambazi
 
Last edited by a moderator:
We unasema nakato siku iz kuna njia nyingi za kukuchukulia pakee yako mikadi yao yenyewe mibovu,nimekwisha badilishiwa kadi si chini ya 3,na nikifika wananiambia inapaswa nilipie,nimeamua kuisusa iyo a/c nimeenda bank nyingine,aiwezekani kadi miezi 3 mbovu,crdb badilikeni.
 
Nimewasapiwa hii.

CRDB.jpg
 
.. nyumbani kwangu nina kibubu kizuri, siweki pesa benki tena, kuepuka makato yasiyokuwa na tija kwangu.

"nitajitahidi muda wote' pesa yangu iwe kwenye mzunguko"

mawazo yako yanafanana na yangu
 
Back
Top Bottom