Recent content by Zikwe

  1. Zikwe

    Nahitaji Eneo la Biashara ya Chipsi

    Habari Wana JF, Kama Kichwa Kilivyoeleza. Nahitaji Eneo la Biashara ya Chipsi Na Mgahawa Kwa Kupanga Na Ikiwezekana Tuma Na Picha Ya Eneo Lenyewe tuje tuingie Mkataba. Haya ndo Maeneo Ninayoitaji Eneo Hilo Liwepo; i) - Sinza ii) - Kinondoni iii) - Magomeni !v) - Mbezi Karibu na Magufuri...
  2. Zikwe

    Simu yangu camon 16s inazima light wakati wa kupiga

    Mda Mwingine Tatizo Hilo Husababishwa Na Sensor Kuzibwa, Hivyo Kama Simu Yako Ina Screen Protector toa Iyo alafu Angalia Ilo tatizoKama Lipo.
  3. Zikwe

    Unahitaji mpishi mzuri wa chakula kwenye shughuli yako. Usiache kupita kwenye huu uzi

    Safi sana. Kitu Ambacho Nimefurahi Kusikia Ni kwamba unafanya Kazi Ambayo Unaipenda, Anyway Nimekusikia Kama Zitapatika a nafsi Tutatafutana
  4. Zikwe

    Unahitaji mpishi mzuri wa chakula kwenye shughuli yako. Usiache kupita kwenye huu uzi

    Sijakuelewa Hapa Ulikuwa unamaanisha Nini..!?
  5. Zikwe

    Unahitaji mpishi mzuri wa chakula kwenye shughuli yako. Usiache kupita kwenye huu uzi

    Swali Nzuri Sana. Nikili Na Nakubali kwamba Kweli kuna Baadhi Wapishi Huondoka Na vyakula Kwenye Shughuli ya Mtu Na binafsi Sipendezwi na Hili Swala kwani Linachafua Sekta nzima Ya Upishi Wa vyakula Shughulini. Na Ukija kwa upande Wangu Moja Ya Kitu ninachozingatia Ni Uaminifu Na Weledi Kwenye...
  6. Zikwe

    Unahitaji mpishi mzuri wa chakula kwenye shughuli yako. Usiache kupita kwenye huu uzi

    Tunaamini Chakula Ndio Kitu Pekee Kinachoweza Kuifanya Shughuli Yako Iwe Bora Zaidi hasa pale Kinapoandaliwa vizuri Katika hali Ya Usafi Na Chakula Kuwa Na Ladha Nzuri Sana. TUPIGIE SASA 0657 33 2814 Ukiwa Na Shughuli yako Yoyote Ile Harusi, Msiba, Kitchen Party, Send-off, Graduation, Private...
  7. Zikwe

    Nilivyoingiza 17.6M ndani ya mwaka mmoja na nusu, kwa biashara ya Mgahawa kwa mtaji wa kawaida kabisa

    𝐂𝐇𝐀𝐊𝐔𝐋𝐀!! 🍍🍉𝐂𝐇𝐀𝐊𝐔𝐋𝐀!!🍗 𝐂𝐇𝐀𝐊𝐔𝐋𝐀!! 🥥𝐂𝐇𝐀𝐊𝐔𝐋𝐀!!🍔 𝐂𝐇𝐀𝐊𝐔𝐋𝐀!!! ꧁༒☬*𝓤𝓼𝓪𝓯𝓲 𝓝𝓪 𝓒𝓱𝓪𝓴𝓾𝓵𝓪 𝓒𝓱𝓮𝓷𝔂𝓮 𝓛𝓪𝓭𝓱𝓪 𝓝𝓭𝓲𝓸 𝓜𝓼𝓲𝓷𝓰𝓲 𝓜𝓴𝓾𝓾 𝓦𝓪 𝓚𝓪𝔃𝓲 𝓨𝓮𝓽𝓾☬༒꧂ 𝐊𝐰𝐚 𝐌𝐚𝐡𝐢𝐭𝐚𝐣𝐢 𝐲𝐚 #𝐌𝐏𝐈𝐒𝐇𝐈𝐈 𝐖𝐚 𝐤𝐮𝐩𝐢𝐤𝐚 𝐊𝐰𝐞𝐧𝐲𝐞 𝐒𝐡𝐮𝐠𝐡𝐮𝐥𝐢 𝐲𝐚𝐤𝐨 Au Mgahawa 𝐘𝐮𝐩𝐨 𝐇𝐚𝐩𝐚.😊 𝐏𝐨𝐩𝐨𝐭𝐞 𝐩𝐚𝐥𝐞 𝐭𝐮𝐧𝐚𝐤𝐮𝐣𝐚 𝐤𝐮𝐟𝐚𝐧𝐲𝐚 𝐤𝐚𝐳𝐢. 𝐓𝐮𝐧𝐚𝐩𝐢𝐤𝐚 𝐁𝐈𝐑𝐈𝐀𝐍𝐈, 𝐏𝐈𝐋𝐀𝐔 𝐊𝐔𝐊𝐔/ 𝐍𝐘𝐀𝐌𝐀, 𝐍𝐘𝐀𝐌𝐀 𝐂𝐇𝐎𝐌𝐀, 𝐒𝐀𝐌𝐀𝐊𝐈...
  8. Zikwe

    Kama unahitaji mpishii wa kupika kwenye shughuli yako yoyote au mgahawa, nipo tayari kufanya kazi

    Nitashukuru Sana Na Hakika Bidii itakuwa kubwa zaidi Kwenye kazi Ili kuona tunafika mbali Zaidi...
Back
Top Bottom