Hii imekuwa too much. Mtu unajiunga GB 1 halafu baadae wanakwambia zimebaki MB 600 au MB 300 za Facebook. Mimi nimejiunga za mambo yangu kwanini mniwekee za Facebook kweny GB 1 yangu?
Mzgo ukifika posta utatumiwa msg ya namba ya mzgo wako na gharama nafikir haizid elf 3 inategmea na KG ukienda unalipa pale pale Kuna kibank chao dak 10 unasepa
AliExpress wanavitu vizr ishu inakuja kwenye kukufikia ukichukua oda ya kitu kikubwa unapata kwa haraka zaid kulko cc wazee wa elf 20 utasubir kwa siku. 41/55 nliagiza kava mwez wa 9 nmepokea mwez wa 11 ila n kava ya uhakika
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.