Recent content by zigg

  1. Z

    Je, ni kweli CCM inaiba kura au ni visingizio vya upinzani?

    Unaposema 2015 upinzani ulipata wabunge wengi na halmashauri nyingi kulikuwa hakuna kauli ya kufuta upinzani awamu hii upinzani unatakiwa ufutwe wote wameanzia serekali za mitaa hakuna upinzani kwenye udiwani na ubunge kauli zimetoka za kwataka baadhi ya wabunge watafute kazi nyingine ubunge...
  2. Z

    Paul Makonda aja na wawekezaji 40 toka Uturuki

    Kwanza jina lenyewe ni la k-USA Sent using Jamii Forums mobile app
  3. Z

    Tundu Lissu: Vincent Mashinji alikosa uadilifu ndani ya CHADEMA. Hakuna pengo kuondoka kwake

    Ni kweli malengo makuu ilkuwa ni kuikata kanda ya ziwa lakini alishindwa na hakuwa na ujasiri wala mvuto Sent using Jamii Forums mobile app
  4. Z

    Kwanini CCM Zanzibar haipati wahamiaji kutoka upinzani? Je, haipendwi au wanasiasa wa visiwani wamekomaa kuliko wa bara?

    Serekali ya kule haina hofu na wapinzani Sent using Jamii Forums mobile app
  5. Z

    Siri iliyofichika nyuma ya Sumaye na Lowassa kurudi tena CCM

    MWAISEMBA CR, Tafadhali sana tuhesimiane unavyodhani sivyo humu mna watu wenye akili zilizoenda shule na zilizotulia usitudharau ukafikiri ww ni jasusi wa kisiasa ww habari hii umeipata wapi? Nani asiejua valangati la lowasa na jk? Nani asiejua mtifuano wa sumae na ccm? Kuingia kwao upinzani...
  6. Z

    Rugemalila aitaka Benki Kuu iwataje watu wote waliopata mgawo wa Escrow. Gavana asita, aomba ruhusa ya Mahakama awataje

    johnthebaptist, Tayari kesi imeisha Sent using Jamii Forums mobile app
  7. Z

    Kwanini Serikali haijatoa tamko rasmi mpaka sasa kuhusu Makonda kufungiwa?

    Kwa hiyo kama taarifa rasmi bado anaweza kwenda? Sent using Jamii Forums mobile app
  8. Z

    Marekani wako very "calculated" mwaka huu wa uchaguzi. Serikali ya CCM kuweni makini

    Wewe na mimi Sent using Jamii Forums mobile app
  9. Z

    Ziara ya Zitto Kabwe: Akutana na Spika wa Bunge la Marekani, Nancy Pelosi

    Wewe angalia mabega yalivyopishana ndio utelewa mkono uko wp Sent using Jamii Forums mobile app
  10. Z

    Tundu Lissu aeleza kwanini walimchagua Lowassa kugombea Urais

    Ni kweli ilikuwa nia ni kufika ikulu kwanza kisha baadae tumtafute mtu bora wa kutuwakilisha agenda kuu ni kuitoa ccm kwanza Sent using Jamii Forums mobile app
  11. Z

    Tanzania na Rais wake wametegeshewa Uchaguzi wa Zanzibar

    Wananchi wa wapi?kwani hao unao ongea nao si wananchi? Sent using Jamii Forums mobile app
  12. Z

    Hii nchi tunaipeleka wapi iwapo haya ni ya kweli?

    Je kama ni star mchezaji wa kulipwa kwa nn asicheze? Sent using Jamii Forums mobile app
  13. Z

    GE2020 Naamini CCM itashinda kwa 99%, Vyombo vya usalama kaeni pembeni mniprove wrong

    Hata mm naamini kuwa ccm ikibaki yenyewe bila msaada wa polisi na tume yao watashinda kwa 150% maana inapendwa sana Sent using Jamii Forums mobile app
  14. Z

    Diwani Isaya Doita aliyemtuhumu Godbless Lema afukuzwa Uanachama

    Kwa sheria ya chama mwanachama hawezi kumkosoa kiongozi wake hadharani kuna taratibu zake ila unaweza kumkosoa kiongozi yeyote hadharani ambae si wako Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom