Recent content by Zhu

  1. Z

    JamiiForums Tanzania Taswira ya TWAWEZA na UWEZO Kenya, Uganda na Tanzania inaenda kuingia doa na dosari kubwa

    UKAWA WANAONGOZA KATIKA TAFITI. Hapo vipi. Miaka yote ya tafiti naona matokeo yanashabiiana na matokeo ya uchaguzi. Tuseme nini sasa. Peoplezzzzzzzzzzzz
  2. Z

    JamiiForums Tanzania CCM Mbona Mnajiandikia Habari Wenyewe?

    Kichwa cha thread yenyewe kinaonyasha ufinyu wa fikra katika uandishi wa habara. Kama siyo taaluma achana na magazeti yanayo kukera. Watafiti wa siasa za UKAWA ni Magazeti na blogs. Watafiti wa siasa za kitaifa huwakilisha maoni ya sehemu zote kwa watu wa maeneo yote. Upinzani huwajajipanga ndio...
  3. Z

    JamiiForums Tanzania Ripoti ya Twaweza ya #SautiZaWananchi: Magufuli na CCM wang'ara dhidi ya wapinzani - Sept 22, 2015

    wana JF bwana wanapenda positive report hata kama haiwezekani. Tafiti zote ambazo zilishafanyaka mara zote matokeo huwa na muelekeo huo huo. Yaani matokeo ya uchaguzi. Fanyeni tafiti nje ya jamii forum ndo utajua ukweli. Humu kazi ambayo huwa naona ni kupeana habari za kufanana na kufurahishana...
  4. Z

    JamiiForums Tanzania Yanayojiri Mikutano ya Mgombea Urais kwa tiketi ya CCM, Dr. John Magufuli mkoa wa Kigoma

    kweli JF kuna hewa wengi, kama hujui jambo ni afadhali utulie. Miaka yote mikutano ya kampeni kwa CCM lazima iwe na burudani. anayeshangaa mwaka huu inabidi asamehewe umri nao ni hoja.
  5. Z

    JamiiForums Tanzania Ujue ukweli wa Lowassa kukimbia midahalo

    Kweli CCM B nakumbuka enzi hizo CHADEMA ilikuwa inataka midahalo ya wagombea leo kulikoni? FINISHED
  6. Z

    JamiiForums Tanzania Ni dakika 5 za Lowassa

    Magufuli ndiye kiongozi sahihi
  7. Z

    JamiiForums Tanzania Lowassa: Tutachukua nchi asubuhi

    DUUU KWELI TUMEICHOKA TZ, FUJO ILEEEEE NAIONA. Ee Mungu utuokoe na huyu SHETANI!!!!
  8. Z

    JamiiForums Tanzania Dr. Magufuli, hupati kura yangu Oktoba 25

    Kura yangu ipo kwa Magufuli, Tunataka kiongozi wa watanzania si kiongozi wa chama. Chama is just a path.
  9. Z

    JamiiForums Tanzania UCHAMBUZI: Hesabu za kura kwa Magufuli zinakataa kabisa.

    HIVI NANI WANAHANGAIKA SAA HIZI UKAWA AU CCM. Kujipa matumaini si dhambi ila ukweli kama ni mabadiliko Lowasa si Kiongozi yeye ni tajiri. Hawezi hata kujieleza licha ya kuwa si kigezo cha msingi. HAWEZI KUONGOZI NCHI HII, na hawezi shinda. MAHESABU YA KURA ZAKO NI YA KIUTENDAJI. Kikwete si...
  10. Z

    JamiiForums Tanzania UCHAMBUZI: Hesabu za kura kwa Magufuli zinakataa kabisa.

    UKAWA, UKAWA, UKAWA. This time kwa upinzani imekuwa kazi mpya ya kujenga chama baada ya kubadili muelekeo sahihi ulioanza kujengeka vizuri. Sasa kilichofanyika ni kumnadi a popular person who is not a leader but rich. Nchi hii tunataka kiongozi. Ni washabiki wanalijua. CHAMA SI HOJA, HOJA NI...
  11. Z

    JamiiForums Tanzania UCHAMBUZI: Hesabu za kura kwa Magufuli zinakataa kabisa.

    some members humu wanadhani watanzania wote wana mawazo ya kufanana. Tutaonyesha 25 oct kuwa waTz wanaakili ya kuchagua KIONGOZI si Chama kama wengine wanavyotaka kuaminisha kuwa mabadiliko ni chama. NEVER
  12. Z

    JamiiForums Tanzania UCHAMBUZI: Hesabu za kura kwa Magufuli zinakataa kabisa.

    No fuse no nothing ukweli unabaki palepale. Tatizo vijana mnazidi ushabiki bila kutumia taaluma zenu. Utasikia mnafanya utafiti, oohhh GPA yangu nzuri, then badala ya kujenga hoja you come up with nonsense, Try to see beyond from what you see, hear beyond from what you hear and What is your view
  13. Z

    JamiiForums Tanzania UCHAMBUZI: Hesabu za kura kwa Magufuli zinakataa kabisa.

    kama unaijua nchi vizuri sawa LOWASA ATASHINDA, ila kama ndo udhabiki tu, RAIS NI MAGUFULI NA HII NASEMA KWA DHATI KABISA. Sababu za ushindi ziko wazi ana watu wa aina zote. Vijana, wazee, mjini na vijijini. ANA SIFA ZA KUWA KIONGOZI. kwa ushabiki utashikilia la kuwa hatashinda lakini ukweli...
  14. Z

    JamiiForums Tanzania UCHAMBUZI: Hesabu za kura kwa Magufuli zinakataa kabisa.

    Kwa wenye akili timamu wanapima mambo matatu ya mabadiliko, chama, kiongozi au mfumo. Hata taasisi ya kawaidi inaweza Kuharibiwa na kiongozi kwa mfumo ule ule au anaweza kuendesha vizuri kwa mfumo ulele. Mfumo hutegemea uwezo wa kiongozi katika kusimamia mambo ya msingi. So kwa taifa letu...
  15. Z

    JamiiForums Tanzania Hivi ni kweli Tanzania tumekosa Viongozi waadilifu hadi watuhumiwa waonekane lulu?

    Nguvu nyingi zinatumika kumnadi mgombea mwizi, wenye akili wametulia. Rais asiye mwizi anajulikana na ndio sifa za kiongozi.
Back
Top Bottom