Recent content by zhi you nhi

  1. Z

    Huu ni zaidi ya mkosi, wanaume nimewanyooshea mikono juu!

    Pole jaman mdada Mungu atakupa aliyewako...mwache aende bana,ubavu haukufit ukiona hvyo.. me yalinikuta yafananayo na hayo bt nashukuru Mungu haikufika huku kama wewe,ila nipo vizur tu since najua Mungu atarejesha furaha yangu
  2. Z

    Huu ni zaidi ya mkosi, wanaume nimewanyooshea mikono juu!

    Kweeeeeel,tena anaekufahamu xana wanawake wivu jaman kuharibu mapenzi ya wenzao tu,me labda mtu anidanganye,lazima nimuulize kama kuna mtu anadate nae,na mambo ya kusema hatuelewan,sijui mjeuri nimeamua kumwacha...hunipati ng'oooo... na nkigundua una mtu nakuacha peupe na jua la utosi
  3. Z

    Huu ni zaidi ya mkosi, wanaume nimewanyooshea mikono juu!

    umeona eeeh,wanaume gunia la misumari nakwambia
  4. Z

    Huu ni zaidi ya mkosi, wanaume nimewanyooshea mikono juu!

    Mpo sawa tu na nyie kwan mnautofauti gani kwa matendo yenu????? kama hukumfanyia uliyenae kuna uliemfanyia bac
  5. Z

    Jamani msaada, ninakufa

    Hiyo itakua ovulation,kuna watu inakua kama hvo yai linapokomaa,jaribu kuchunguza ilikua cku gani ktk mzunguko wako
  6. Z

    Hivi kwanini WAARABU wanapenda tigo

    wanawake wao ni wavivu,hivyo viungo vyao vya uzazi vimelegea
  7. Z

    Wanaumeee

    wafikishie hao,wametuziea vibayaaaaaa
  8. Z

    Hatariiiiiiiiiiiiiiii

    nyani haoni kundule....
  9. Z

    Hatariiiiiiiiiiiiiiii

    mpuuzi mwenyewe...nyambafu we ucniletee udume wako hapa,hukohuko kwa mkeo
  10. Z

    Nilim-cheat Mpenzi wangu in 2012

    kha! kwa mwendo huu hakuna haja yakuingia kwenye ndoa... yan ungekua mume wangu ww siku nkikufuma nakukata mashine kabisaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
  11. Z

    Mapenzi

    wanaume wote wangekua kama ww me ningeolewa hata kesho,tatizo asilimia kubwa c waaminifu
  12. Z

    Hatariiiiiiiiiiiiiiii

    kushukuru mheshimiwa
  13. Z

    Hatariiiiiiiiiiiiiiii

    wanawasiliana kama kawaida tu
  14. Z

    Hatariiiiiiiiiiiiiiii

    Nashukuru mkuu
Back
Top Bottom