Recent content by Zezeta Ziro

  1. Z

    Weekend story! Dare the devil and face your own ghosts!

    Nimekuwa msomaji Wa kimya kimya Wa story zako ila naona nafsi inanisuta bila kutoa hata compliment. Mwee kusoma nisome bure hata hongera ya mdomo!!? Ni dhambi. Lara1 wewe ni zaidi ya entertainer. You have such a beautiful soul. Kufurahisha na kuburudisha watu bure ni kitu ambacho Mungu peke yake...
  2. Z

    Weekend Story: YANGA! (Naipenda yanga shabiki wa damu)

    Dunia ya Mungu pesa za mzungu mtanzania yake majungu. Asante @lara1
  3. Z

    Ukitongoza msichana wa siku hizi jipange

    kwanza rekebisha kauli yako....wanawake wa siku hizi hawatongozwi. Na umeshaambiwa mjini njoo na akili zako tu tabia utazikuta huku huku.
  4. Z

    She is beautiful, highly educated and paid but lonely! Why?

    Married and bored.......single and lonely.
  5. Z

    Uchaguzi 2015: (BVR): Wapiga kura milioni nane zaidi wametokea wapi?

    Hadi uchaguzi uishe tutakuwa tumepata hadi wanafalsafa.
  6. Z

    Mwandishi wa MWANANCHI atimuliwa kampeni za John Magufuli

    Maswali yangu juu ya uzi huu...huyo mwandishi kaajiriwa na Mwananchi au Magufuli? Kwa nini atimuliwe kama kazi yake ni kuripoti? Hao Mwananchi walimtuma au SISIEM walimuomba awe kwenye msafara wa Magufuli?
  7. Z

    CCM na sarakasi ya mdahalo, kunani??

    Kwa majibu ya wengi kwenye uzi huu yanadhihirisha kauli ya kwamba watanzania walio wengi ni wavivu wa kufikiri.Huwezi leo kutetea hoja ya CCM kukataa midahalo vipindi vilivyopita ETI iwe sababu ya CHADEMA kuikataa wakati huu.Huo ni ufupi wa kufikiri.Watu wenye nia njema ya kushika hatamu ya dola...
  8. Z

    Yaliyojiri UKAWA na Waandishi: Wajibu tuhuma za Dr. Slaa

    Mimi ni mwanajamvi mpya humu na nimevutiwa sana mada mbalimbali za kisiasa kipindi hiki cha uchaguzi. Swali kubwa ninalojiuliza hasa baada ya Mh Edward Lowassa kujiunga na CHADEMA,KWA NiNI HAJIBU MWENYEWE SHUTUMA ZOTE ZINAZOELEKEZWA KWAKE?Kwa nini anasemewa?Hakuna ukweli mzuri kama ukweli...
Back
Top Bottom