Recent content by Zeroiez

  1. Zeroiez

    JamiiForums Tanzania Cheti cha mfamasia kipo (Proprietor wanted)

    Tafuta pesa isiyopungua milioni nane inatosha kuanzisha biashara ya Pharmacy unless unataka kufungua maeneo ya mjini au ushuani
  2. Zeroiez

    JamiiForums Tanzania Cheti cha mfamasia kipo (Proprietor wanted)

    Mwache aendelee kujifariji na leseni yake kabatini
  3. Zeroiez

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Maduka ya Dawa Muhimu bado wanaendelea kuuza Antibiotics bila kufuata utaratibu licha ya kutolewa kwa katazo

    Mimi ni mhanga wa hilo tatizo, nilishapeleka malalamiko mpk makao makuu lakini sikupata msaada ila nilichogundua Pharmacy Council na wamiliki wa DLDM ni kama kuna sehemu wanaelewana
  4. Zeroiez

    JamiiForums Tanzania KERO Kero ya mziki wa Bar ya Kisuma 5G Temeke mwisho

    Karibu sana!
  5. Zeroiez

    JamiiForums Tanzania KERO Kero ya mziki wa Bar ya Kisuma 5G Temeke mwisho

    Temeke- Dar Es Salaam
  6. Zeroiez

    JamiiForums Tanzania Ubovu wa barabara ya Mbagala Kiburugwa

    Bomba halikupita katikati ya hyo njia ila lipo pembeni na makazi ya watu yalishasogezwa. Hivi kama ile sio barabara husika je wakazi wa huko watumie njia gani? Kwa nini kulichimbwa mfereji wenye upana wa futi saba?
  7. Zeroiez

    JamiiForums Tanzania Ubovu wa barabara ya Mbagala Kiburugwa

    Bomba limepita pembeni na wakazi husika walishalipwa na kuvunja nyumba zao
  8. Zeroiez

    JamiiForums Tanzania Ubovu wa barabara ya Mbagala Kiburugwa

    Ndio hawafai huduma nzuri.?
  9. Zeroiez

    JamiiForums Tanzania Ubovu wa barabara ya Mbagala Kiburugwa

    Diwani wa kipindi hiki ni ccm pia maendeleo hayana chama...
  10. Zeroiez

    JamiiForums Tanzania Ubovu wa barabara ya Mbagala Kiburugwa

    Wakazi na haya maeneo wanateseka sana. Huku viwandani hakupitiki ukija kwa huku mbele zakhiem kuelekea kiburugwa napo majanga...😡😡😡
  11. Zeroiez

    JamiiForums Tanzania Ubovu wa barabara ya Mbagala Kiburugwa

    Inabidi tulalamike tu kwa pamoja maana wahusika no kama wamelala usingizi mzito
  12. Zeroiez

    JamiiForums Tanzania Ubovu wa barabara ya Mbagala Kiburugwa

    Wakazi wa mbagala kiburugwa tunaomba serikali iwajibike ipasavyo, barabara hii ni kubwa sana ila ni mbovu haipitiki kipindi cha mvua na kikiwa kipindi cha jua kali ni vumbi na mchanga mwingi kiasi kwamba inahatarisha watumiaji wake. Watumiaji wa hii barabara tunateseka.
  13. Zeroiez

    JamiiForums Tanzania Kwanini Azam hajawekeza kwa Boti za kwenda Tanga, Lindi na Mtwara

    Wanaingia jpili usiku na kulaza magari yao mgandini mpaka j3 jioni wanaanza kurudi bandarini na usiku wake ndio huanza safari ya kuelekea pemba na magari wanayotumia ni FUSO mali ya azam Sent from my iPhone using JamiiForums
  14. Zeroiez

    JamiiForums Tanzania CCM MP has said that ATCL air hostesses are not attractive

    Kama utakuwa umesafiri na kupanda ndege tofauti bs utakubaliana na huyo mbunge, binafsi nilipanda Dreamliner yetu nikashangaa kuona wahudumu wetu wapo kawaida sana hata uchangamfu pia hawana
  15. Zeroiez

    JamiiForums Tanzania Wazaliwa wa mkoa wa Tanga tukutane hapa

    Tuweni makini na hiki kinywaji chetu pendwa watu wa tanga leo nimegundua chupa nyingi ambazo zipo madukani ni expired [emoji35][emoji35][emoji35][emoji35]
Back
Top Bottom