[emoji16][emoji16][emoji16] Ata hivyo nimeshatoka kumkaanga mchataji asiye jua mipaka ya kuchakata,
Utatakaje kuchakata mpaka watoto under 11 kweli si ni ujinga huo
Kufa sio tatizo, nikifa leo yeye atakufa kesho tutatofautiana siku ya maziko tu,
Sikihofii kifo kwa sababu najua kipo na lazima kinikute.
Nb
Sio kesi ya viwanja ni kesi ya vijana wa hovyo wasioweza kufunga zipu zao vizuri ata kwa watoto wadogo.
Wanasheria na wazoefu ambao mmewahi fika mahakamani, nimepigiwa simu na mwanasheria wa Serikali niende nikatoe ushahidi.
Kuna tukio lilitokea na mimi ni mmoja kati ya walioshuhudia.
Kipi cha kuzingatia wakati wa kutoa ushahidi.
NB: Nilishatoa maelezo polisi ila leo ndio siku ya kutoa ushahidi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.