Recent content by Zero IQ

  1. Zero IQ

    Kuna aliyewahi kukutana na kitu kama hiki kwenye Maumbile ya namna hii kwa mwanamke?

    Huyo demu ni wa dodoma ?kama ndio basi tumeshare huyo demu dadeki zake
  2. Zero IQ

    Serikali awamu ya sita imefikisha Maji kwenye Vijiji 10,758 Tanzania Bara kati ya Vijiji 12,333

    Tuwekewe PDF ya hivyo vijiji vyenye maji ya uhakika ,tuhakiki sio habari ya namba namba ambazo hazina faida
  3. Zero IQ

    2030 ni miaka 4 na miezi kadhaa tu, sio mbali!

    Tutaona,ni Swala la Muda tu.
  4. Zero IQ

    Siasa Siasani, Mama kambale, Mtoto kambale, wateule Kambale wote wanajiona sawa

    Yaani Nyumba imekuwa kama karakana ya kuchomelea
  5. Zero IQ

    Siasa Siasani, Mama kambale, Mtoto kambale, wateule Kambale wote wanajiona sawa

    Hakuna wa kushauri, hakuna wa kukemea, hakuna wa kutoa kauli ya mwisho , Wote wanajiona wana nguvu sawa. Nyumba isiyo na Baba, hata Mama akipewa mamlaka bado atajiona ni Mama tu . Tumeyakanyaga, tumeipenda wenyewe lazima tuinywe. Cc Zero IQ.
  6. Zero IQ

    John Heche akamatwa akiwa Mahakama Kuu akijiandaa kuhudhuria kesi ya Tundu Lissu

    Hawezi kutekwa mahakamani,ata watekaji wawe wapumbavu vipi hawawezi kufanya hivyo
  7. Zero IQ

    John Heche akamatwa akiwa Mahakama Kuu akijiandaa kuhudhuria kesi ya Tundu Lissu

    Kufatilia siasa kwenye nchi kama hii ni kama vile unataka kujipunguzia siku za kuishi.
  8. Zero IQ

    Mke wangu amekuwa na tabia ya kusema tuachane kila tukigombana kidogo leo nimeamua tuachane kweli

    Nimeondoka Asubuhi hii ,nimebeba begi langu tu la nguo kuelekea kiwandani kwangu , Kurudi tena pale labda yesu arudi
  9. Zero IQ

    Mke wangu amekuwa na tabia ya kusema tuachane kila tukigombana kidogo leo nimeamua tuachane kweli

    Kuchakata muhimu mkuu ila kwa asilimia kubwa nilikuwa nimeshatulia
Back
Top Bottom