Recent content by Zero 2 Hero

  1. Z

    JamiiForums Tanzania Serikali yapiga Marufuku Uhamisho wa Watumishi

    Je kama Dodoma hakuna nafasi asiajiriwe?
  2. Z

    JamiiForums Tanzania Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    @T14-Armata mchambuzi wa silaha matata kabisa. Siku hz silaha hazichambuliki tena
  3. Z

    JamiiForums Tanzania Maulid Kitenge na wengine mmetuonyesha kuwa ajira za Tanzania ni holela sana. Inakuwaje miaka 20 kazini huna cheti cha taaluma?

    Vyuo vina maana gani ya kuwepo? Yaani mtu akiamka aamua awe mganga, muuguzi, mwalimu au askari bila kupitia chuo. Ukijiona una kipaji cha utangazaji nenda shule ya utangazaji. Siyo unajiona unakipaji cha utangazaji unaenda kusomea ushonaji kisha unarudi kutangaza
  4. Z

    JamiiForums Tanzania Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    🇺🇦 🇷🇺 Ukrainian reconnaissance troops assist a wounded neighboring unit in evacuaighting under heavy Russian airtillery fire in the area of the village of Novotoretske, Donetsk region
  5. Z

    JamiiForums Tanzania Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Hii ni baada ya ule mzigo wa maiti 6000 wa mwezi uliopita. Tunaambiwa huko mstari wa mbele wa mapigano warusi wanakufa kama nzige ila cha kushangaza Ukraine huwa wanakosa maiti za kubadilishana
  6. Z

    JamiiForums Tanzania Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    🇺🇦 🇷🇺 “Well basically, they nabbed us.” A man near retirement age who can barely walk. He arrived at the front as part of reinforcements.
  7. Z

    JamiiForums Tanzania Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    🇺🇦 🇷🇺 After returning from a mission, a drone captured footage of Russia shelling of Ukrainian positions
  8. Z

    JamiiForums Tanzania Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    🇺🇦 🇷🇺 02.07.2025 - Drone strikes on Russian ammunition depots by Ukrainian forces resulting in a catastrophic explosion Near the village of Velyke Orikhove, in Donetsk region. -
  9. Z

    JamiiForums Tanzania Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Huko kwenye uwanja wa vita Russia imezidiwa na wanajeshi wake wanakufa mithili ya nzige, ila cha ajabu wanaoshinda hawakomboi ardhi yao, ndio kwanza wanazidi kuipoteza taratibu taratibu
  10. Z

    JamiiForums Tanzania SPECIAL THREAD: Yanayojiri kwenye Mgogoro wa Israel na Iran na hatma yake kwenye siasa za dunia

    Umeisoma comment yangu au umekurupuka kujibu? Nimesema nchi yoyote inayoinuka kijeshi huku iko kinyume na matakwa ya NATO huwa lazima ikumbane na vikwazo vya kiuchumi maana majeshi bila uchumi hakuna kitu utafanya. China walikuwa wajanja walianza kujenga uchumi baada ya kukua ndio wameingia...
  11. Z

    JamiiForums Tanzania Ni miaka 2000 baada ya Yesu mpaka sasa wakristo hawajakubaliana juu ya hili jambo

    Taarifa fulani ikisomwa TBC na ITV haiwezi kutofautiana kiasi hicho. Mfano juzi taarifa kubwa ya nchi ilikuwa ni uzinduzi wa daraja la kigongo-Busisi, ukipitia vituo vyote vilivyoripot taarifa hiyo utakuta gharama za mradi zinafanana, urefu wa daraja unafanana. Labda tuanzie hapo tuletee vyanzo...
  12. Z

    JamiiForums Tanzania Ni miaka 2000 baada ya Yesu mpaka sasa wakristo hawajakubaliana juu ya hili jambo

    Unamaelezo yasiyoendana na hoja za wadau. Lengo la waandishi kujazwa roho mtakatifu lilikuwa ni nini?
  13. Z

    JamiiForums Tanzania SPECIAL THREAD: Yanayojiri kwenye Mgogoro wa Israel na Iran na hatma yake kwenye siasa za dunia

    Kumbe Israel bado haijaanza kuangusha vitu kwenye miji ya Iran. Kumbe Hospital, television na mfumo wa maji taka wa Tehran vyote hivyo vilipitiwa na kimbunga au tetemeko la ardhi siyo vitu vya israel
Back
Top Bottom