Recent content by zephanialembris

  1. Z

    UTEUZI: Hoseah Ezekiel Kashimba ateuliwa kuwa Mkurugenzi Mkuu PSSSF

    Mimi nipo kanda ya ziwa hapa nafanya kazi. Ukiangalia asilimia kubwa ya maeneo yake hakuna maendeleo kwasababu watu wa huku hawana desturi ya kuendeleza makwao kama kaskazini wanavyofanya. Huku mtu akifaulu shule nyumbani kwao watamsahau coz atapotelea mikoa iliyoendelea na kuwaacha wazazi wake...
  2. Z

    UTEUZI: Hoseah Ezekiel Kashimba ateuliwa kuwa Mkurugenzi Mkuu PSSSF

    Acha ukabila na sifa za kijinga. Kumbuka akiwa pale kwenye hiyo nafasi hatakupa chochote eti kisa ni msukuma. Pambana na hali yako.
  3. Z

    Transfer TCU leo jioni

    Mbona link yenyewe haikubali?
  4. Z

    Msaada kurudia mwaka chuo kikuu

    ungeomba upya tcu coz inawezekana
  5. Z

    Msaada kuhusu St. John's University

    Afu kama umezoea uzururaji badala ya kusoma, kwa pale lazima utateseka sana coz ni msuli mwanzo mwisho...yaani hakuna kupoteza muda hovyo kama pale udsm.
  6. Z

    Msaada kuhusu St. John's University

    Afu isitoshe huendi chuo kikuu kuangalia majengo bali unaenda kusoma zako zen upite zako ukiwa na gpa nzuri itakayokuwezesha kupata ajira.
  7. Z

    Msaada kuhusu St. John's University

    Bt yamefanyiwa maboresho sana kwahiyo yana hadhi nzuri ya kuwa chuo kikuu bora tz
  8. Z

    N. Korea kupimana nguvu kijeshi na Marekani

    korea kaskazini wanajamba tu,hawana lolote la kuwatisha usa hata kidogo.
  9. Z

    N. Korea kupimana nguvu kijeshi na Marekani

    korea kaskazini wanataka kupotea kabisa katika dunia hii.waache tu waendelee kumchokonoa marekani coz marekani atamuonyesha cha mtemakuni.pumbavu sana korea kaskazini.
Back
Top Bottom