Mimi nipo kanda ya ziwa hapa nafanya kazi. Ukiangalia asilimia kubwa ya maeneo yake hakuna maendeleo kwasababu watu wa huku hawana desturi ya kuendeleza makwao kama kaskazini wanavyofanya. Huku mtu akifaulu shule nyumbani kwao watamsahau coz atapotelea mikoa iliyoendelea na kuwaacha wazazi wake...
Afu kama umezoea uzururaji badala ya kusoma, kwa pale lazima utateseka sana coz ni msuli mwanzo mwisho...yaani hakuna kupoteza muda hovyo kama pale udsm.
korea kaskazini wanataka kupotea kabisa katika dunia hii.waache tu waendelee kumchokonoa marekani coz marekani atamuonyesha cha mtemakuni.pumbavu sana korea kaskazini.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.