Wakati Hayat Magufuli anapambana kutumbua majipu wapinzan walijitenga nae wakaanza kumuita dictator uchwara. Hapo ndipo watanzania wakatia akili kumbe hawa niwasaka tonge. Ilitegemewa wange msaidia ukizingatia agenda ya ufisad hasa ukirejea tukio la Mwemba yanga(List of Shame)
Kushindwa ama kushinda angalia malengo ya vita. Baada ya lile shambuliz la HAMAS na Waisrael zaid ya 1000 kufa na wengi kuchukuliwa mateka. Jeshi la Israel lilianzisha vita kwa malengo ya kurudisha mateka na kuwamaliza HAMAS huku wakijiapiza hawawez kuongea na magaid. Na kwa namna ya jeografia...
Baada ya kushindwa ktk uwanja wa mapambano, Israel walilazimika kukubali mazungumzo ili kuwapata mateka wao. Cease fire ilikuwa katika awamu 2. Awamu ya kwanza ni kuachia mateka idadi kadhaa huku israel ikitoa wafungwa wa kipalestina waliozuiliwa ktk majela ya israel. Awamu ya pili ilikuwa Hamas...
Naunga mkono hoja. Uchumi ukue ili ajira ziwe nyingi. Tuzalishe bidhaa zenye viwangi vya kimataifa ili tuuze hadi nje ya nchi. Kwa kufanya hivyo wote wataajiliwa na hatutatosha. Mfano kilimo kikiboleshwa then tuuze unga Africa mzima mbona watu tutaona mijin hakuna maana
Wewe mpaka leo unaamin Russia anapigana na Ukrain tuu. Mbona mchezo ungeisha kitambo tuu! Wapo wanajeshi wakigen wanapigana upande wa Ukrain kwa kujifanya wanajitolea. Wapo wataalam wa usalama kiheshi na special force wanaoisaidia Ukrain . Na wapo wanajeshi 1000 out of 2000 toka Ufaransa. Hapo...
Siku zote kupitia baadhi ya wachambuzi husema kuwa USA keshapiga mataifa makubwa ya kiislam na anammendea Iran. Wakati vita ya HAMAS na Israel imeanza USA alipeleka vifaa vya kivita Israel akimtisha iran asijaribu kuisaidia HAMAS na ikasemakana ni mtego kuwa aingie amalizwe mazima. Sasa mbona ni...
Ndugu Muathirika pole! Kwa namna ulivyoandika inaelekea ni mauthirika hasa. Ila ulichoandika hapo umeelemea upande mmoja kutaka kuonesha waliopita JKT wote wanatabia mbaya ya ukatili. Je unataka kuniambia hakuna ambao wanatekeleza majukumu yao kwa weledi ?? Mawazo yako haya ni aina ya uongo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.