Recent content by Zeni2017

  1. Z

    Hivi NGO inafunguliwaje nchini Tanzania

    Nina vitu vingi vya kuokota vikiwemo majiko ya umeme, friji, baiskeli, wheelchairs, microwave, mashine za kufulia, mpaka magari ya zamani vyote naweza kuvitoa bure kusaidia homeland. Ila mambo ya kukamatana kodi ya mara tatu ya bei ya hivyo vitu siyawezi.
  2. Z

    Wanaogiza Magari Japan, Kuweni Makini na Hii Kodi

    Tuache denial. Hapa ukieleza matatizo ya nchi lazima kuna watu watakupinga kwa denial (kukataa tuu) Nimegundua hata ukisema umejinyea atatokea mtu wa kubisha kuwa hujajinyea
  3. Z

    Wanaogiza Magari Japan, Kuweni Makini na Hii Kodi

    Mchuma kama huu wa 2012 unalipiwa ushuru kiasi gani? Ni left hand lakini. Na je TRA wanaangalia mileage? Nikiyaleta 6 hayo nikisema nimenunua dola mia nane mia nane watakubali? Na ni kweli hiyo bei ya manunuzi. Dili hiyo sio hadithi ninayo hayo magari. Kuna Mnigeria anayepeleka Nigeria kama...
  4. Z

    Wanaogiza Magari Japan, Kuweni Makini na Hii Kodi

    Hivi wewe unajua thamani ya gari la zaidi ya miaka kumi Marekani? Kwanza hata yakiwa ya kukata mafundi majiko mnao wengi tu Bongo na skrepa ni biashara nzuri inaweka watu mijini. Haya ni magari ya kukata spea?
  5. Z

    Wanaogiza Magari Japan, Kuweni Makini na Hii Kodi

    Kiburi si maungwana! Elimisha usileweshe. Wengine tunaweza kupata magari kwa dola mia tatu sasa tuje kuyalipia dola elfu tatu za uchakavu. Hiyo sheria ni ya kimataifa au ni kiyabongongo?
  6. Z

    Tumieni simu kukamata trafiki wakipokea rushwa

    Wengi mnashindwa kuelewa polisi wakizuiwa kuchukua rushwa hawatakamata watu kwa makosa ya kipumbavu. Polisi akikuandikia faini una hiari kuilipa au kugoma kulipa na kujitetea mbele ya hakimu. Na polisi asipotokea mahakamani unashinda kesi. Akikosea vitu muhimu kama tarehe au wakati kwenye hiyo...
  7. Z

    Wanaogiza Magari Japan, Kuweni Makini na Hii Kodi

    Ujinga unakuja hapa RAV4 ya 1998 ulipie TRA dola 2835.11 Wakati gari hiyo kwenye Ebay inauzwa dola 1485.00 Ina maana TRA wanachukua kodi zaidi ya mara mbili ya bei gari? 1-Piece Removable Hardtop for Toyota RAV4 (1998-2000) | eBay
  8. Z

    Tumieni simu kukamata trafiki wakipokea rushwa

    That's the spirit and I am not gonna say the big word.
  9. Z

    Tumieni simu kukamata trafiki wakipokea rushwa

    Tatizo lako unafikiri mtoa rushwa hana hatia. Ili kukomesha hili suala tunatakiwa tuwe wanoko tuwapige picha wote polisi na mtoa rushwa. Wote wanaikosesha serikali mapato. Wote ni wezi.
  10. Z

    Tumieni simu kukamata trafiki wakipokea rushwa

    Chukulia video mia zienee fb polisi wanachukua rushwa bosi wao atakaa kimya?
  11. Z

    Tumieni simu kukamata trafiki wakipokea rushwa

    Hata ukiziposti kwenye mtandao bosi wao atakuwa mavini kwa wakuu wake.
  12. Z

    Tumieni simu kukamata trafiki wakipokea rushwa

    Hizi simu zina camera sio kwa sababu ya kupigia picha za insta. Wala hizi simu hazina mitandao kwa ajili ya kufanyia umbea kwenye What's Up. Polisi wanachukua rushwa barabarani na simu mnazo. Wakimuita mtu pembeni wachukueni video. Kama ni kumuandikia mtu faini wamuandikie hadharani. Na nyie...
  13. Z

    Polisi FFU Ukonga nimewakosea nini? Nimepigwa mimi,mke wangu na Mama mkwe bila kosa lolote. Nifanyaje kuchukua hatua?

    Ungeposti video ya kipigo hapa. Au angetokea mtu hapo mtaani kwenu akarekodi hilo tukio na kuliweka hapa. Halafu kama unalia ungeenda Kisutu na wewe kudai bilioni moja ya kushikwashikwa.
  14. Z

    Upumbavu uwe ni kosa la jinai

    Ingekuwa vyema watunga sheria wakafanya mchakatuo wa kuweka vigezo vitakavyofanya upumbavu uwe ni kosa ni la jinai kwa nchi zisizoendelea. Ili tujenge utamaduni wa uwajibikaji uzembe na upumbavu vinapaswa kuadhibiwa na mahakama.
Back
Top Bottom