Kuna wimbo ulikuwa unatumika kwenye kipindi fulani cha usalama barabarani,baadhi ya maneno unasema msukosuko wa mawimbi maji yakishakuingia,madereva wenye fujo yafaa kuwakimbia.
Mwenye nao anipatie p'se
Mwenye wimbo wa alawa,baadhi ya maneno wanasema alawa alikuwa fundi baiskeli kabla watu hawajamjua vizuri alawa akaiach a kweli
Mwenye nao tafadhali msaada tutani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.