Recent content by ZeMarcopolo

  1. Z

    Msaada nina milioni 500 hapa ambayo nataka niiwekeze niwe nakula faida tu, wapi kunafaa kwa uwekezaji huu?

    Kabla ya kuamua wapi kwa kuwekeza inabidi upige hesabu zinazoendana na malengo yako. Naona wengi wametoa ushauri unaolenga kukuongezea utajiri, lakini swali lako halijalenga kuongeza utajiri. Umelenga kupata passive income for the rest of your life. Hesabu itakayokufaa inaendana na bajeti ya...
  2. Z

    Chadema ishakua shamba la bibi, kila mtu anachangisha

    Biashara ya Lema hiyo...
  3. Z

    Umewahi kukutana na vikwazo gani vya ndugu kweye utafutaji?

    Ukishaona mtu anasema Samia Must Go ujue ana matatizo kichwani. Usitegemee awe na uwezo wa kupanga vipaumbele vya maisha yake sawasawa. Inawezekana ni laana ya mzazi...
  4. Z

    PostGE2025 Waziri Mkuu Mstaafu, Pinda: Maandamano gani ya kuchoma Nyumba za Watu?

    Tunashukuru Mungu kuona vijana hawataki tena kurudia makosa ya MO29. Amani ndio msingi wa maendeleo.
  5. Z

    Maridhiano ya kweli yatapatikana Tundu Lissu akiaachiwa na Rais Samia akikiri watu waliuliwa ili kulinda maslahi ya wanaCCM

    Vyombo vya ulinzi na usalama vinafanya kazi kubwa sana kuhakikisha nchi inatawalika kwa mujibu wa Katiba na Sheria. Sadly, wakati mwingine hulazimika wahalifu kupoteza maisha.
  6. Z

    Taharuki: Mtanzania diaspora atekwa nyara Kilimanjaro

    Polisi hawawezi kutoa matangaza ya kila mtu anayekanatwa. Huyu ilibidi watoe tangazo kwa sababu kuna watu wenye nia ovu walikuwa wanasambaza taarifa za kichochezi kuwa ametekwa.
  7. Z

    DOKEZO Ukweli mchungu ila vijana wanaokwenda South Africa bora wakabaki hapa

    Sio South Africa tu, sasa hivi dunia nzima ni hivyohivyo kwa mtu asiye na kibali cha kufanya kazi. Ni bora kupambana nyumbani Bongo kuliko kutumia gharama na kuishia kuwa mtumwa bila mafanikio wala matumaini. Inawaweka wahamiaji haramu wengi katika hatari ya kushiriki kwenye makosa ya jinai...
  8. Z

    Maandamano yanaishaje? Tarehe 25 barabarani

    Hayo sasa sio maandamano ni ugaidi.
  9. Z

    Maandamano yanaishaje? Tarehe 25 barabarani

    Maandamano yameshafeli...
Back
Top Bottom