Recent content by ZeMarcopolo

  1. Z

    Mbinu watumiazo Mafundi Ujenzi kuibia mabosi zao

    Cement ya elfu 14-15 umeipata wapi mkuu? Inaweza kuwa magendo hiyo. Bei aliyokutajia fundi wako ni sahihi kwa hali ya soko ya sasa. Kuna umuhimu pia wa kujenga uhusiano mzuri na fundi ambao ndio utakuwa msingi wa uaminifu.
  2. Z

    Wakuu nina wazo

    Inabidi utoe ufafanuzi kuhusu hiyo rent, je wakati anaanza kurent alikushirikisha? Je, mshahara wake unatosha kulipa hiyo rent?
  3. Z

    2024 uwe mwaka wa Mbowe kuona aibu na kug'atuka. CHADEMA irudi kwa wazalendo kiuhalisia

    Chadema ni chama cha mchongo binafsi wa Mtei na familia yake...
  4. Z

    Umewahi kupata Hasara gani kutokana na Fundi Ujenzi kukosea makadirio ya Vifaa?

    Huyu fundi hujamtendea haki. Cha muhimu wewe hakikisha hujaibiwa materials, zote ziingie kwenye nyumba yako. Lakini mtu kutoka jasho na anaondoka bila kulipwa sio sahihi kabisa na Mungu aliyekupa uwezo wa kujenga hawezi kufurahi. Hao vibarua wamekukosea nini mpaka wafanye kazi bila malipo. Hii...
  5. Z

    Kila nikikumbuka CHADEMA walivyomkashifu Mrema na TLP kushirikiana na CCM nasema moyoni Mungu ni Fundi

    Mbowe ni mjasiliamali tu wa siasa. Ukiona unamuamini Mbowe ujue ushapotea njia...
  6. Z

    Wazazi wake hawanitaki, nifanyeje?

    Wewe umeenda kutambulishwa kama nani? Kwenye jakii zetu mchumba hutambulishwa iwapo anataka kuoa. Kwenye kuoa kila familia wana taratibu zao ambazo unapaswa kuzitafiti na kuzizingatia. Je, wewe lengo lako ni kuoa? Utaratibu wa kuoa kwenye familia hiyo unaufahamu? Kama unaufahamu, umeufuata...
  7. Z

    Ni namna gani naweza kufuatilia kupata Hati ya Kiwanja?

    Utaratibu uko hivi: 1. Unatakiwa kupata kampuni itakayofanya kazi ya kupima. 2. Kampuni hiyo itaenda ardhi kuangalia kwenye ramani iwapo eneo hilo limepangiwa matumizi. 3. Kutokana na majibu yatakayopatikana toka ardhi. Kampuni ya upimaji itaenda ofisi ya halmashauri kuomba kibali cha kupima...
  8. Z

    Plot4Sale Tunauza Nyumba, Viwanja na Mashamba. Tupo Dar

    Hicho kiwanja kimefika sqm 900 kweli? Vipimo vyake vikoje?
Back
Top Bottom