Recent content by ZeMarcopolo

  1. Z

    JamiiForums Tanzania Msaada nina milioni 500 hapa ambayo nataka niiwekeze niwe nakula faida tu, wapi kunafaa kwa uwekezaji huu?

    Kabla ya kuamua wapi kwa kuwekeza inabidi upige hesabu zinazoendana na malengo yako. Naona wengi wametoa ushauri unaolenga kukuongezea utajiri, lakini swali lako halijalenga kuongeza utajiri. Umelenga kupata passive income for the rest of your life. Hesabu itakayokufaa inaendana na bajeti ya...
  2. Z

    JamiiForums Tanzania Bunge la sasa rais anatajwa sana kuliko bunge lolote lile badala ya kujadili hoja za msingi

    Utajadili hotuba ya Rais bila kumtaja Rais?
  3. Z

    JamiiForums Tanzania Baba Boni: Imani yetu ni kubwa, Chadema inaenda kuishika nchi, Mungu anaipenda

    Ndoto za Alinacha...
  4. Z

    JamiiForums Tanzania Chadema ishakua shamba la bibi, kila mtu anachangisha

    Biashara ya Lema hiyo...
  5. Z

    JamiiForums Tanzania Tabia 10 Muhimu za Mafanikio ambazo utazikuta kwa kila tajiri kokote duniani

    Number 1 mpaka 6 zote sio kweli...
  6. Z

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Umewahi kukutana na vikwazo gani vya ndugu kweye utafutaji?

    Ukishaona mtu anasema Samia Must Go ujue ana matatizo kichwani. Usitegemee awe na uwezo wa kupanga vipaumbele vya maisha yake sawasawa. Inawezekana ni laana ya mzazi...
  7. Z

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Waziri Mkuu Mstaafu, Pinda: Maandamano gani ya kuchoma Nyumba za Watu?

    Tunashukuru Mungu kuona vijana hawataki tena kurudia makosa ya MO29. Amani ndio msingi wa maendeleo.
  8. Z

    JamiiForums Tanzania Maridhiano ya kweli yatapatikana Tundu Lissu akiaachiwa na Rais Samia akikiri watu waliuliwa ili kulinda maslahi ya wanaCCM

    Vyombo vya ulinzi na usalama vinafanya kazi kubwa sana kuhakikisha nchi inatawalika kwa mujibu wa Katiba na Sheria. Sadly, wakati mwingine hulazimika wahalifu kupoteza maisha.
  9. Z

    JamiiForums Tanzania Taharuki: Mtanzania diaspora atekwa nyara Kilimanjaro

    Polisi hawawezi kutoa matangaza ya kila mtu anayekanatwa. Huyu ilibidi watoe tangazo kwa sababu kuna watu wenye nia ovu walikuwa wanasambaza taarifa za kichochezi kuwa ametekwa.
  10. Z

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Ukweli mchungu ila vijana wanaokwenda South Africa bora wakabaki hapa

    Sio South Africa tu, sasa hivi dunia nzima ni hivyohivyo kwa mtu asiye na kibali cha kufanya kazi. Ni bora kupambana nyumbani Bongo kuliko kutumia gharama na kuishia kuwa mtumwa bila mafanikio wala matumaini. Inawaweka wahamiaji haramu wengi katika hatari ya kushiriki kwenye makosa ya jinai...
  11. Z

    JamiiForums Tanzania Maandamano yanaishaje? Tarehe 25 barabarani

    Hayo sasa sio maandamano ni ugaidi.
  12. Z

    JamiiForums Tanzania Maandamano yanaishaje? Tarehe 25 barabarani

    Maandamano yameshafeli...
Back
Top Bottom