Recent content by Zeemadeit

  1. Zeemadeit

    Usiache kununua ardhi. Niliyojifunza Goba sikufanya makosa Madale

    Nauza eneo langu kiluvya madukani nimepata changamoto ya kuuguza mtoto. Kutoka barabaran boda 1500/2000 bajaj 1000. Ukubwa: 23 kwa 16 meters Bei : 6M Maji umeme kila kitu kipo na majirani wameshajenga sio pori. Ukihitaji nipigie 0714485247/0627757086
  2. Zeemadeit

    Kimsingi Mr Beast amenigusa ningepata kipato nitafanya kama yeye

    Yani huyu kaka an moyo mzuri. Mungu azidi kumbariki
  3. Zeemadeit

    Look at this: Huu ni Ujinga Hama ni Nini?

    Mtoto mzuri huyo lakini sio mchina.
  4. Zeemadeit

    Ndoa yangu ipo ICU !dah

    Miaka karibu 7 toka huu uzi uwekwe..vipi mkuu ndoa yako ilipata nafuu?
  5. Zeemadeit

    Najipiga kifua mimi ni kijana wa kuigwa, nimekua sasa

    Safi sana hakuna tunzo ya uzinifu.
  6. Zeemadeit

    Wakuu hii imekaaje Mbona mimi sielewi? Hebu nisaidieni tafadhali kwa wenye ujuzi

    Poleni sana, naamini hio hali imetokana na ujauzito na kujifungua mrudishe hospital atakua sawa tu.
  7. Zeemadeit

    Kampuni za mabati za kuziogopa

    Buku 5 kwa bati 100 ni sawa na laki 5
  8. Zeemadeit

    Mapenzi Yaliyojaa Maneno ya Watu: Nifanyeje?

    When it comes to dating and relationship in general, don't relay on people's opinion. You are still young date whoever you want as long as you feel safe and happy.
Back
Top Bottom