Umenkumbusha mbalii sana aise miaka ya 2010's nlkuwa na pisi moja kali sana tulipendana na nilikuwa nampelekea mioto mikal akazama jumla ila sas skuwaga na Noti..kwahyo pisi nliskia skia kn majamaa yenye noti yanamkaza kila siku nkiwa sipo
nlpokuj kuchunguz km hvo nilimkuta pisi kainamishwa...
Shika maneno yangu mkuu..."siku SIMBA ikiitoa WYDAD ..Yule The Hon. Hayati aliye changanya mchanga wa Tanganyika na Z'bar atafufuka kuchanganya na Mchele wa USANGU na Wa MAGUGU na Mbeya na Manyara itakuwa ni Nchi Moja....niko palee📌🔨😎
Habarini Wananchi wote wa JF..!
Bila kupoteza muda naomba nisiwachoshe tusichoshane..Ukweli huwa ni mchungu sana..hii imewafanya watanzania wengi wanapenda uongo wenye kufariji kuliko ukweli unaoumiza..
Awali nilikuwa nikitizama hizi timu za Bongo niliona zinachechemea sana hakuna Lolote Jipya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.