Astaghafirullah, Mwenyezi Mungu akulaani wewe unayemdhalilisha Mtume wetu SAW pamoja na hao waliokutuma
Siku ya hukumu kama utakuwa hujafanya toba kwa haya mabandiko yako hapa utakuja kujuta sana
Ni hayo tu
Ila nyie wakristo ni watu wa ajabu sana. Nyinyi hamuifuati dini yenu, in fact dini yenu hata huko ulaya ilikoanzia imeshakufa kitambo haipo
ila roho zinawauma sanaaa kuona waislamu wanaifuata dini yao. Na hakuna watu wanaoifuata dini yao kama Waislamu duniani kote hanma... sasa hiki kitu...
Haya sasa kapokee mshahara wako kwa bandiko lako hili. I hope umeajiriwa kwa kazi hii tu mana si kwa juhudi hii
Sisi wapenzi wa Mtume Muhammad SAW hatutishiki, hatubabaiki na mabandiko ya kipuuzi kama haya
Unapoteza muda wako bureee,
laana inakuhusu
Ukweli mchungu ni kwamba: Waislamu ndio watu pekee duniani ambao wanaifuata mafundisho ya dini yao katika maisha yao ya kila siku. Na watu wa dini zingine wao hawafuati mafundisho ya dini zao na mafundisho hayo yamebaki kwenye makaratasi.
Na hili ndio jambo linalowachukiza wengi wasio waislamu...
Sasa badala ya kupingana na Quran kwa nini usiangalie kwanza hivyo vitabu vyako vya Taurati, Zaburi na Injili kama havijabadilishwa kweli? Najua una uhakika 100% kwamba hivyo vitabu vimebadilishwa. Ndio mana kuna version zaidi ya 1000 za Biblia na kila mtu anasema version yake ndio sahihi...
unalipwa shilingi ngapi kwa hii kazi ya kuutukana uislamu humu mitandaoni? naona uko katika ajira ya kudumu. Ukae ukijua tu wewe na hao waliokutuma woooote mtakufa na mtauacha uislamu uko pale pale na unazidi kunawiri..
Ndugu yangu unapozungumza kuhusu mambo yanayomuhusu Mwenyezi Mungu basi uwe makini. Usikurupuke tu. Chukua Quran soma au vitabu vengine vye Mwenyezi Mungu. Kamwe usianzishe mjadala wa Mwenyezi Mungu kwa mambo usiyo na ujuzi nayo au kwa mambo ya mzaha, unaweza ukajikuta unapata laana na majanga...
Mara nyingi sana wanawake ndio huwa ni wahanga kwa kuonewa au kupigwa ndio mana hata sheria zinawatetea zaidi wao. Ila sometimes kuna wanaume ambao pia wanaonewa kweli kweli
Sasa mbona kwenye sensa huwa mnakataa kipengele cha dini kisiwekwe kama nchi hii ina wakristo wengi kuliko waislamu?
Ajabu ni kwamba wanaokataa kipengele cha dini kisiwekwe wakati wa sensa ni viongozi wa kikristo. 😃
Mnakuwa kama waisrael wanasema ile ni nchi yao ya ahadi ya miaka 3000 lakini...
Hebu wakumbushe Israel ule mpango wao wa kuwapiga Iran mana naona kama wamejisahaulisha hivi. Waachane na Hizbollah au Hamas wao kama nchi saizi yao Iran sio vikundi vya wanamgambo
Wewe mzee utakufa kifo kibaya sana. Kama usipotubia na kumuomba Mungu msamaha kwa makosa yako ya kumtukana Mtume Muhammad SAW kila wakati, na kumtukana Mwenyezi Mungu humu jamvini, basi jiandae mauti mabaya. Wewe una laana na usipoangalia unaweza kuambukiza laana hiyo kwa kizazi chako
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.