Maelezo mazuri, ila mimi nataka kujifunza tu binafsi sina mpango wa kuwa mwalimu itanilazimu kuchukua km mda gani kuwa vizuri kwnye martial arts hasa KungFu
Mimi huwa sihongagi kabisa wanawake japo sijawahi kuwa na mahusiano stable sana na wala sijali mana kifedha nakuaga salama sana mm ni mchumi haswaaa kwa hvi viumbe, ahsantee kwa uzi mzuri👍
Nyie nyie tuachaneni na mambo ya jinsia MONIQUE SEKA ni mashine nyngne yule mwanamama kwenye Zouk then OLIVER.
Kwa upande wa Rhumba FRANCO, MADILU, MBILIA BEL.🙌🙌
Mimi nauliza tu, Je kwa makanisa haya ya sahivi hyo pesa ya Fungu la kumi(zaka) wanayokusanya wanaitumia vipi na wanaitofautishaje na sadaka ya kawaida.????
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.