Mkuu William tunajua wewe ni Mtoto wa Sultan Malecela,Usilazimishe mawazo yako mgando ndio yawe muafaka kwa taifa hili.Wewe ni mtu mzima na unajua maana ya Demokrasia acha unafiki usiwadanganye watu humu mtandaoni.CCM yenu mnayoishabikia hainatija tena kwenye hili taifa maana imeshindwa kuleta...
Sitta ni Janga la kitaifa kutokana uwezo wake mdogo wa kiutendaji katika bunge maalum la katiba.Kusema kweli walompa kura kwa kishindo yamegeuka majuto kutokana na kushindwa kuwa fair katika mchakato mzima wa kujadili rasimu ya mzee Warioba.
Sitta sio mtu mwema hata kidogo kwa taifa letu maana...
Tunataka Katiba Mpya itakayo tanguliza utu wa taifa letu mbele na sio maslahi ya Mabeberu wa nje na ndani ya Tanzania.Haki ya Mungu naapa CCM Mkifanikiwa kuchakachua Katiba mpya mjue Mungu atawalaani nyinyi na vizazi vyenu vyote,nilazima kama mnataka usalama mfuate maoni ya wananchi wengi.
Ni wazi kabisa ccm imejipanga kuvuruga mchakato wa katiba mpya kwa kulazimisha maoni ya CCM ndio maoni ya watanzania wote.Naomba CCM itambue iko siku moja wataondoka madarakani kwa hiyo iache kutanguliza maslahi ya chama mbele badala taifa ,
Huko ni kuwasaliti wà tanzania.Dhambi wanayotaka...
Wewe jamaaa ni mjinga sana unajiita tume ya katiba acha kuidhalilisha tume yetu hawana akili mbovu kama zako mpuuzi wew
e.huwezi kushindana nachadema kenge wewe,akili yako fupi sana kama unahoja za msingi post na sio huu ujinga unaofanya wakudanganya watu wakati ukweli unafahamika kwamba ccm...
Katika kuhakikisha CCM Inaendelea kubaki madarakani na muundo wao mbovu wa serikali mbili,tayari wameshachakachua wajumbe wa Bunge maalum la katiba kwa kuteua zaidi ya 75% ambao ni makada wakubwa wa CCM.Kwa mwendo huu sidhani kama tutafika maana waloteuliwa wengi ni ma CCM kwa hiyo tujiandae...
Kwa heshima kubwa nakuomba Rais wetu Mh Jakaya Kikwete uzingatie ahadi uliyoitoa 2012 baada ya kukubali mchakato wa kupata katiba mpya Tanzania,nakumbuka ulituahidi WaTanzania kwamba unataka kuandika historia Tanzania kwa kuipatia Tanzania Katiba Mpya ambayo inatokana na wananchi wengi wa...
Taswira ya baraza la mawaziri jipya halitoi tumaini la mabadiliko ya aina yoyote ya kiutendaji badala yake walaji wapya wameingia ndani ya mfumo ule ule.Watu makini wameachwa na kuwekwa watu dhaifu kama Mwigulu Nchemba huyu ni mropokaji tu na mpanga mipango ya kuhujumu upinzani na wasi wasi sana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.