Hellow habari zenu....natumaini ni wazima na mnaendelea na shughuli zenu za kimaisha
Mimi ni mhitimu wa 2020 ngazi ya shahada (degree)..nimesoma bachelor ya ualimu katika masomo ya geography na History..
Nina uzoefu wa kufundisha secondary kwa form 1 mpaka form 6.
Jinsia ni (ke)..kwa sasa...
Habari zenu..
Nina mtoto wa miezi 10 ..tangu jana naona anatapika na kuharisha ila hachemki na ana uchangamfu tu..ameanza kuota meno..kuna jino la chini ndo linaota.
Hii hali ya kutapika ina sababishwa na nini jamani na tiba yake ikoje nisaidieni.
Nina mpango asubuhi nimuwahishe hospital
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.