Wadau habari,
Nakuja jukwaani hapa kuomba msaada wenu,nina mtoto mwenye mwaka na nusu, alikua anasumbuliwa na kutapika, kuharisha na homa toka wiki iliyopita, tulimpeleka hospital na akapata tiba kuharisha na homa vikakata, tatizo kubwa ni kwamba bado tatizo la kutapika linamsumbua sana, tulimrudisha hospital wakampatia dawa inaitwa PHENAGAN (nimesahihishwa) lakini kwa kweli bado haijamsaidia kitu, kwani bado anatapika, mfano leo ametapika mara nne na ameishiwa nguvu kabisa kwa maana ya kulegea mwili kabisa!
Wadau naombeni msaada wenu wa kiushauri!
Asanteni
Nakuja jukwaani hapa kuomba msaada wenu,nina mtoto mwenye mwaka na nusu, alikua anasumbuliwa na kutapika, kuharisha na homa toka wiki iliyopita, tulimpeleka hospital na akapata tiba kuharisha na homa vikakata, tatizo kubwa ni kwamba bado tatizo la kutapika linamsumbua sana, tulimrudisha hospital wakampatia dawa inaitwa PHENAGAN (nimesahihishwa) lakini kwa kweli bado haijamsaidia kitu, kwani bado anatapika, mfano leo ametapika mara nne na ameishiwa nguvu kabisa kwa maana ya kulegea mwili kabisa!
Wadau naombeni msaada wenu wa kiushauri!
Asanteni