kwa kweli serikali ikiendelea kukaa kimiya taifa litakua tete,ni wengi wamemwagiwa tindikali,mabomu yanarushwa,watu wanapigwa risasi mchana?lakini watuhumiwa hawakamatwi kuna nini hapa wadau?tafakari!!!!!!!!!!!!!!!1
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.