Alikua anasamehe ila alishindwa kumsamehe mkewe? Aliyemlelea watoto miaka yote alokaa gerezani akaishia kuoa mke wa rafiki yake. Alikua shupavu na mpenda haki. Ila kwa swala la familia alichemka
Na nyie mnaowaponda na kutaka kujua walichonacho wengine ni mashilingionea au? Sasa mtu akiitwa bilionea ww inakuuma nn? Oo ukinunua supu sasa na ww c ununue uitwe bilionea? Au ndio maneno ya mkosaji? Or wakifa ndio wanakua mabilionea! Ww ukifa nani hata vijiji vi 2 havitajua. Acheni wivu...
Polisi walishakamilisha ushahidi ndio maana wakasomewa maahtaka. Watu wamechoshwa na haya mambo bwana.. hakuna sheria ya dini wala ya nchi yetu inayoruhusu mtu kumuua mtu mwingine. Mimi niko moshi hii kesi imevuta watu wengi sana na ndicho kilichonifanya hata mimi kufika. Juzi kesi ilisomwa...
Polisi mkoa wa Kilimanjaro wamenifanya niamini kua pilisi wakiamua kufanya kazi wa naweza.
Nafatilia kwenye vyombo vya habari kesi ya watuhumiwa wa mauaji ya Msuya wa Arusha.
Jinsi kila wakati inaporipotiwa kuwa watuhumiwa kadhaa wamekamatwa tena wengine tunaambiwa ni wafanya biashara ma...
Kuna jamaa anaitwa chusa anajua faida za hii kitu, coz yeye na wafanyakazi wake wote ni ganja tu. Akili zao zinawatuma kufanya chochote ila zaidi bangi yao inawatuma kuua . Bangi ni hatari sana kwa taifa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.