Recent content by ZAYO_2020

  1. ZAYO_2020

    Corona: Meneja wa Diamond na Mwana FA watangaza kuugua Corona baada ya kupimwa

    Uwezekano wa kuwepo toka last year ni mkubwa, rejea post yangu hapo juu. Wengi tunaweza kuwa tulipata ''mild symptoms'' na kurecover bila hata kujua.
  2. ZAYO_2020

    WHO yasema idadi ya wagonjwa wa Corona wanaoripotiwa Afrika sio sahihi

    Tafadhali zingatia huu ugonjwa unaweza kuleta matokeo matatu kulingana na uwezo wa mwili wako kupambana, mild, severe and critical hadi fatal. Tazama chart hiyo hapo chini Stage of severity Rough percentage of people with COVID-19 Mild disease from which a person can recover More than 80%...
  3. ZAYO_2020

    Corona: Meneja wa Diamond na Mwana FA watangaza kuugua Corona baada ya kupimwa

    Elewa ugonjwa huu unaweza kuleta matokeo matatu, mild, severe and critical. Tafadhali angalia chart hiyo hapo chini na uzingatie Stage of severity Rough percentage of people with COVID-19 Mild disease from which a person can recover More than 80% Severe disease, causing breathlessness and...
  4. ZAYO_2020

    Kwenu wanawake/ akina mama

    what's wrong with you dude? why are you so hateful toward women? SHAME ON YOU AND THAT KIND OF THINKING!!! Hakuna kinachokutofautisha na hao wauaji sababu umejaa moyo wenye chuki kuu dhidi ya wanawake. I pray you find healing.
  5. ZAYO_2020

    Wanaume wenzangu, tuwaenzi wanawake wetu tuliotoka nao mbali

    Mbona mada za kuwashusha na kuwaponda wanawake zimezidi sana humu ndani? Je ni dalili ya tatizo la kimaadili katika jamii yetu? Tatizo la upevu la kizazi cha wanaume wa wakati huu? Well, kutokana na standard zilizowekwa na jamii mbalimbali duniani, inafahamika kuwa binadamu wapo wa viwango...
  6. ZAYO_2020

    Sintosahau nilichokishuhudia kwa macho yangu nchini Rwanda wakati wa vita vya kikabila 1994 hadi naingia kaburini

    994: Joseph Kavaruganda alijua kuwa UN haitawasaidia wanyarwanda Wakili, Joseph Kavaruganda, ambaye alikuwa Rais wa Mahakama ya Katiba, na Agathe Uwilingiyimana, Waziri Mkuu, wote waliuawa Aprili 7, 1994. Siku 100 zilizopita waliiambia Umoja wa Mataifa kwamba ikiwa hawataingilia kati ili...
  7. ZAYO_2020

    Sintosahau nilichokishuhudia kwa macho yangu nchini Rwanda wakati wa vita vya kikabila 1994 hadi naingia kaburini

    Wengine waliohudhuria walikuwa Waziri Mkuu Uwilingiyimana Agatha na Twagiramungu Faustin ambaye angekuwa Waziri Mkuu wa Serikali ya Mpito. Pia alikuwepo Mkuu wa UNAMIR, Jacques Roger BOOH-BOOH, na Balozi Dorah Mbezi wa Tanzania, ambaye alimwakilisha mpatanishi katika mazungumzo ya amani ya...
  8. ZAYO_2020

    Mke wangu amehamishia upendo wote kwa watoto. Je, ndio uhalisia wa ndoa zote?

    Kuna vitu vingi vinaendelea hapa. Je unajua changamoto gani za kimwili na kiakili mwanamke huwa anapitia baada ya kujifungua. Kuna kitu wataalam wanaita postpartum depression.Kwa third world countries hatufuatilii sana ila kama utaweza jaribu kufanya utafiti juu ya hili na usichoke kumuonyesha...
  9. ZAYO_2020

    Mke wangu amehamishia upendo wote kwa watoto. Je, ndio uhalisia wa ndoa zote?

    Samahani kama hautajali, je watoto wenu wana umri gani?
  10. ZAYO_2020

    Mke wangu amehamishia upendo wote kwa watoto. Je, ndio uhalisia wa ndoa zote?

    Mkuu ndio maana nikasema siwezi kuhukumu kwasababu sijui mengine yanayoendelea..? Nimechangia hapo tu mapenzi yalipoamishiwa kwa watoto Je ni kuwa mkeo hakuonyeshi heshima, yaani anakudharau? Je ni kuwa hana time na wewe kabisa, hata unapojaribu kuweka mazingira ya kuwa karibu nae? Je baada ya...
  11. ZAYO_2020

    Wanawake wenye dharau nikipata pesa ntawanyanyasa sana

    Nadhani ni vicious circle, ukiwa kwenye situation kama ya Diamond unahitaji divine intervention ku break free. Sasa mwache amuige Diamond tuone anafika wapi, asije hapa kujitilisha huruma.
  12. ZAYO_2020

    Mke wangu amehamishia upendo wote kwa watoto. Je, ndio uhalisia wa ndoa zote?

    Kuna baadhi ya watu humu kwenye social forums, kwakuwa ni rahisi kuandika, basi wanaandika lolote bila kupima impact yake kwa jamii. Mambo yapo tofauti sana kwenye dunia ya kweli.
  13. ZAYO_2020

    Wanawake wenye dharau nikipata pesa ntawanyanyasa sana

    You got your priorities wrong bruh, but to each his own. The universe will deal with you accordingly.
Back
Top Bottom