Beeb
JF-Expert Member
- Aug 18, 2018
- 29,402
- 58,943
Kuna upendo wa mzazi kwa mtoto na upendo wa mke kwa Mume..Ni vitu viwili tofauti..sasa anapojaribu kupenda watoto na wewe ukawekwa pending dah..anakosea sana..Thanx kwann wadada mnakuwa ivo najitahidi kuwa baba bora kwa maslahi ya famili why...
Sent using Jamii Forums mobile app
au labda ulimfanyia kitu kilichosababisha akaacha kukupenda?
Sent using Jamii Forums mobile app