Recent content by zawido

  1. Z

    Utata viettel

    Mhuu hawa jamaa huwa siwaelewi
  2. Z

    Mwenye kufahamu interview za Tanzania Postal Corporation

    Ni kweli nimekubali ni kheri upate kidogo kuliko kukosa hata hicho kidogo !NASHUKURU WANA JAMII
  3. Z

    Mwenye kufahamu interview za Tanzania Postal Corporation

    Nashukuru sana wanajamii,mungu awapiganie.Ngoja nisubiri hiyo tar 24/07
  4. Z

    Mwenye kufahamu interview za Tanzania Postal Corporation

    Wanajamii naombeni Msaada wenu kuhusu interview za TPC( Tanzania posts corporation) niliomba nafasi ya marketing officer, nimepigiwa simu leo kwamba tarehe 24/07 saa 3:00 asubuhi nifike kwenye interview. Kwa aliyewahi kufanya naomba anijuze wadau!
  5. Z

    Marketing officer at ppf

    Duu na Mimi niliomba hiyo nafasi ijumaa SAA 8:30asubuhi nilikuta missed call ya landline Ila nilivyojaribu kucall back ilionekana km huwezi kupiga ila wao wamaweza kukupigia.Nisaidie kupat hiyo no.iliokupigia ili niangalie labda ndo wenyewe.
  6. Z

    Kwa aliyepigiwa simu na Advans Bank msaada please

    mwenye kufahamu Hii no.+255 901 761234.nimekuta missed call najaribu kucall back inaniletea message invalid no.duuuu .
  7. Z

    Kwa aliyepigiwa simu na Advans Bank msaada please

    Mimi niliapply mkuu ila sijapigiwa simu labda jaribu tena kupiga hiyo no.
  8. Z

    Nina Utata Dhidi ya Vietel Tanzania Company

    Duu upo vzr sana we we! nimependa ushauri wako!Thnx
  9. Z

    First National Bank wameanza kuita watu?

    wana jamii kuna mwenye update za Hawa watu wanaitwa First National Bank?atujuze!
  10. Z

    PPF Waanza kuita watu

    Mungu awapiganie na kuwasimamia kwa ajili ya interview ya kesho.
Back
Top Bottom