Wanajamii naombeni Msaada wenu kuhusu interview za TPC( Tanzania posts corporation) niliomba nafasi ya marketing officer, nimepigiwa simu leo kwamba tarehe 24/07 saa 3:00 asubuhi nifike kwenye interview. Kwa aliyewahi kufanya naomba anijuze wadau!
Duu na Mimi niliomba hiyo nafasi ijumaa SAA 8:30asubuhi nilikuta missed call ya landline Ila nilivyojaribu kucall back ilionekana km huwezi kupiga ila wao wamaweza kukupigia.Nisaidie kupat hiyo no.iliokupigia ili niangalie labda ndo wenyewe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.