Recent content by Zaster

  1. Zaster

    Natafuta shule A level ya Private iliyopo Tanga

    Wakuu mwenye namba za mwalimu yeyote wa eckenford au coastal naomba anisaidie
  2. Zaster

    Notes za masomo yote zinapatikana

    Mkuu Dar upo sehemu gani ili madogo ambao hawana simu waweze kukupata?
  3. Zaster

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Naona m bet hawataki nibet kwa leo
  4. Zaster

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Ngoja nijaribu kwa hapo
  5. Zaster

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Hakuna siku mbaya katka betng kama kukoseshwa mpunga mrefu na timu unayoiamini kuwa itashinda[emoji35] [emoji35] [emoji35] Huu mchezo hauhitaji papara
  6. Zaster

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Weka mtaji wako woooooteeee hapo na upate mitaji kibaooooooo NB;Kubet kupta kiasi ni hatar kwa Pesa zako
  7. Zaster

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Mkuu tatzo sasa hv mechi nyingi kuna wachawi yan unamwamini huyu na huyo huyo ndo anakupalaza kamtaji kako sijui na wachezaj huwa wanabeti[emoji1] [emoji1] [emoji1]
  8. Zaster

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Mkuu ni upepo tu ukikuendea vizuri unaweza kupga zaid ya hzo na usiwe na mawazo mabaya juu ya matanuzi ya hizo pesa NB: Bet kistaarabu
  9. Zaster

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Hii naona ni shaba ya kumpiga mhindi za kichwa ngoja niichukue kama ilivyo
  10. Zaster

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Samahan hapo kwny mech ni timu[emoji36] [emoji36]
  11. Zaster

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Nafikir ni mechi moja wapo ishinde kat ya hizo mbili mfano Man U v Taifa stars hyo 1 iwakilishe man u na 2 iwe taifa stars
  12. Zaster

    Clouds Fm na muziki wa singeli

    Nganganga hainaga ushamba na mshamba hawez kuelewa[emoji1] [emoji1] hyo ndo miziki ya uswazi yan kibaka akikukwapua simu yako ww imba tu singeli lazma akurudishie
  13. Zaster

    VIKINDU: Eneo hatari Tanzania kwa uvamizi wa majambazi kila siku

    Tatzo la nchi yetu ya viwanda ndo hili yan mnashndwa kushirikiana kw pamoja polisi na wananch ili kusolve jambo hilo mnataka polisi ndo wafanye kaz hivi kwan wao polisi hawaogopi kufa au kujeruhiwa??? au ndo kusema wao hawana familia za kuwalilia??
Back
Top Bottom