Mimi ni kijana mstaarabu sana, ni Mchamungu, pia mwenye kujali hisia za wanipendao na wanichukiao vilevile.
Naomben ushauri. Ninapendwa na kina dada wawili, wote wananipenda sana, tena sana tu ndugu zangu na ninahitaji kumpenda mmoja ili niwe na penzi la dhati kwa nitakaekua nae.
Thamani yao...
"yu can control ur luv,bt u cnt control luv",tawala hcia zko za mapenz kwa kuuaminisha moyo wko kwmb ww ndo mmilki wa hlo penz,,b4 yeye ulkuwa hn furaha?kpende klchkp furaha kabla yke..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.