Makongoro Mahanga anasema wakati wanafanya marekebisho ya katiba ili kuwapa wanawake nafasi zisizopungua tano kat ya 10 yy alikua amekaa karib na Spk wa bunge mh Ndugai,sasa anasubr tar 31 ck ya kuwaapisha hao wabunge aone km spika atajfanya amekosea au amesaau hicho kipengele
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.