Inawezekana hajiamini huyo mumewako!kwahiyo anakushusha ili ujione takataka zaidi.
Inawezekana pia nguvu za kiume zimeanza kupungua kwahiyo anakunyanyasa ili ukose kujiamini kabisa ujione haufai na huwezi kupata mwanaume wa kukupenda zaidi yake!yaani anakufanya uamini yeye ndio amekustiri...
Salaam wanajamvi!Natumai mu wazima wa Afya!
Poleni wote munaopitia changamoto mbalimbali M/Mungu awafanyie wepesi
Niende moja kwa moja kwenye mada husika. SIRI NZITO[emoji24]!!
Wiki mbili zilizopita nilikua Nimeamshwa na kelele za kuku nyuma ya nyumba kwenye banda la kuku!
Nikaenda kagua...
Clean sheet haina mashiko katika ulimwengu wa wabobezi wa soka!!
Yaani league bora iliyosheheni wachezaji wenye viwango we unatokaje na clean sheet kila mechi sijui unbeaten?!msimu huu ni mgumu kuliko uliopita kwa timu zote!
Kwa wabrazili hawa na wazungu usitegemee cleansheet nyingi
Jamani msaada!
Nina ndugu yangu ni mjamzito wa mtoto wake wa pili Kwasasa una muda wa wiki 41 ndio imeanza.
Mimba yake ya kwanza alijifungua kawaida katika wiki ya 37 salama kabisa!sasa ujauzito huu wa pili umemsumbua saaana mpaka leo hii hajajifungua na hakuna dalili.
Tarehe ya makadilio...
Mimi ni Yanga lialia ila Hersi yuko sahihi!anawaambia ili wajitume!wasibweteke!!limtu kama Mayele anajionaga kama CR7 hivi jinsi anavyojiona yuko juu!!
Bora hata alivyokosa Kiatu cha ufungaji bora maana angezidi kujiona keki ya Marble[emoji3]wakati hata Inonga tu anamtoa jasho la meno...
Kapime Uti dear!mimi pia niko kama wewe ila nilikua napata dalili hizohizo!nikaenda hospital nikakuta uti!nimepata tiba sasa niko sawa hata sichechemei wala maumivu
Uti inasababisha Kujifungua mapema kabla ya siku zako!nenda hospital na sio zahanati
Haji ni kiumbe bwana!Mja haswa!!yaani anamdomo mchafu kuliko uchafu wenyewe[emoji23]!unaweza hata kumdhuru kutokana na mdomo wake wallah[emoji30]ana Phd ya kukera na maudhi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.