Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,530
- 217,796
Hii timu inaweza kuwa inashinda baadhi ya mechi , lakini kiukweli ina ukuta unaovuja mno ! Sielewi simba iliwakosaje yaani ?
Game yao na Polisi Tanzania ambayo wameshinda 2-1 ni kielelezo cha ubovu wa Mabeki wa Timu hii .
Kiukweli kwenye michuano ya Kimataifa timu hii itadhalilika sana .
Yetu macho .
Game yao na Polisi Tanzania ambayo wameshinda 2-1 ni kielelezo cha ubovu wa Mabeki wa Timu hii .
Kiukweli kwenye michuano ya Kimataifa timu hii itadhalilika sana .
Yetu macho .