Recent content by Zambotti

  1. Zambotti

    Asilimia 100 hujifichia CCM kutenda maovu na haramu

    Yeah, ulaji mwepesi inshort
  2. Zambotti

    Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

    Bado hatujamaliza kushuhudia vituko vya mambo ya dunia na watu wake. Niko mapumziko ya wiki mahali, takriban kilometa miahamsini nje kidogo ya jiji la dar es salaam, napita kukagua ndugu na jamaa. Moja ya jamaa zangu amepatwa na kisa hiki naona Bora tushee humu. Huyu sista ameolewa ndoa ya...
  3. Zambotti

    Mnada wa Jezi tano wa Simba SC zenye majina ya viongozi ungependeza kama zingesainiwa na wahusika

    Naunga mkono hoja. Hakuna kitu kikubwa cha maana cha kufanya jezi iuzwe kwa mnada
  4. Zambotti

    Jamhuri ya muungano wa Tanzania, Serikali ya mapinduzi Zanzibar

    Wewe endelea kufunga maneno tu alafu useme uko wazi. Nashukuru kuwa uko wazi katika hoja zako.
  5. Zambotti

    Jamhuri ya muungano wa Tanzania, Serikali ya mapinduzi Zanzibar

    Hakuna mahali utahoji uhali wa muungano ama ukandamizwaji wa Zanzibar ama Tanganyika alafu ndani yake usitaje dini uwe uislamu au ukristo. Andiko lako ni kweli hujataja dini lakini ndani ya hoja yako mtazamo utakaopatikana ni wa dini hizi mbili. Na habari ya muungano wa Tanganyika na zanzibar...
  6. Zambotti

    Jamhuri ya muungano wa Tanzania, Serikali ya mapinduzi Zanzibar

    Nasi kama waislamu huwa tunaona ombwe la wazi sana pindi mtawala anapokuwa kutoka upande ule mwengine. Na kwa kuwa pia vitendo vya watawala wa ule upande wa pili huwa ni kukandamiza huu muungano lkn pia kukandamiza na uislamu basi kwa nyakati hii mnapaswa kuwa wa pole na ndio maana ya kupokezana...
  7. Zambotti

    Jamhuri ya muungano wa Tanzania, Serikali ya mapinduzi Zanzibar

    Na kwanini hoja nyingi za kuudai uhalali wa muungano au Tanganyika huru huja sana kipindi ambacho ama rais atakuwa ni muislamu au ni kutoka zanzibar??
  8. Zambotti

    Mtazamo wangu: Urafiki wa kawaida kati ya muislam na muislam una mashiko ya kweli kuliko urafiki wa mkristo na mkristo mwenzie

    Allah akbar. Kuna mambo mtatu katika uislamu yanapojitokeza hayatakiwi kucheleweshwa hata sekunde 1. Kuzika 2. Ndoa 3. Mtu anayebadilisha dini kuingia uislamu(kuslimu)
  9. Zambotti

    Rais Samia na Ronald Reagan ni same stereo types?

    Kuna mambo umeandika ni mazuri boss hongera. Napinga unapotuchukulia tunaompinga katika misingi kuwa tunampinga eti kwa sababu aliyefanya maamuzi ni 'mwanamke' hivyo ni kana kwamba hafit kwa mujibu wa mindset zetu za mfumo dume. Ishu si kuwa ana washauri ambao ni maphd na yeye hana PhD, ishu...
Back
Top Bottom