Makubwa niliyoyaona kwa macho tangu aapishwe
1. Kuteua waziri Mkuu Nchemba
2. Kuunda baraza la mawziri
3. Kuunda wizara ya vijana
4. Tume ya uchunguzi vurugu za uchaguzi
5.........
6............
Kwenye Biashara yangu. Alikuja mama mmoja anahitajika nimuuzie bidhaa lakini alikuwa na pesa ambayo kama nitauza itakuwa imekula kwangu. Basi mama akalalamika sana kuwa nimuuzie kwa bei hiyo.
Akaniambia nikimuuzia huenda mungu ataleta faida yangu kupitia wateja wengine na madua mengine kadha wa...
Dah kuna huyo mwanetu enzi tunasoma sekondari 2006 mwamba alikuwa mtu wa mbeya somebody Mwangoka nadhani, alifiwa na mzee wake ilikuwa ajali ya gari au alianguka na pikipiki akakanyagwa pande za Mwenge mataa.
Kituko ni ule msiba picha linaanza tunafika msibani wameweka mziki full buster...
Mpira umeisaidia sana Tanzania bara kuwapumbaza watu kuachana na mambo ya siasa ya nchi. Kule Zanzibar bado wako vimbembele na siasa ya nchi yao. Wamejaribu kubust ligi yao angalau iwe na vibe kwa watu imefeli.
The only option ni kuhamisha ligi ya bara isambae na Zanzibar hususani ni hizi...
Sipendi kulipa kodi kwasababu siioni ikitumika kwa maendeleo ya nchi ipasavyo.
Kumekuwa na ubadhilifu mkubwa wa pesa kwa watumishi wa serikali.
Ufujaji wa pesa na matumizi yasiyo ya lazima kwa serikali, nadhani umeuona msafara wa makamu wa rais juzi.
Hapa jana Kuna bilioni zaidi ya saba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.