Recent content by ZALEMDA

  1. Z

    Kifo cha Sokoine: Watoto wake wataka mwili uchunguzwe kubaini kama alikufa kwa ajali au la!

    huku duniani ni shida.yani ukitaka kuukaa maisha marefu usiguse maslahi ya watu.ndiyo maana wema huwa hawaishi miaka mingi.hiyo ndyo formula mjomba. maswali ni mengi .je kwenye ajali hiyo alikuwa SOKOINE TU au na dreva alikufa? hivi kwnye msafara huwa anaingia kwnye gari mhusika tu na dreva wake?
  2. Z

    Nimwombe Rais Samia awaondoe haraka wanajeshi wetu kule DRC Congo. Mnapigana na nchi ya EAC

    ni kweli .wakenye walikuwa wanashirikiana ana M23 na PK kuendelea kuiba madini ya congo. lakini tuwachekea nyani iko siku tutaokoata mabua. kama DRC congo haiko salama nchi za EAC haziko salama kiivyo.take my wards
  3. Z

    Nimwombe Rais Samia awaondoe haraka wanajeshi wetu kule DRC Congo. Mnapigana na nchi ya EAC

    hapa shida ni kwamba hilo kundi la M23 ni la watusi asili ya Rwanda ,burundi na uganda wanatafuti kujitenga na DRC.kwa hiyo kagame anawatetea wenzake kama alnavyokiri kwenye hiyo clip
  4. Z

    Nimwombe Rais Samia awaondoe haraka wanajeshi wetu kule DRC Congo. Mnapigana na nchi ya EAC

    sasa hapo umejibu nini sasa? tumia akili angalau kidogo wewe unaona ni akili ncho mwanachama wa EAC kupigana na nchi ya EAC ? KAGAME anapigana congo DRC ambayo ni nchi mwanachama wa EAC .sasa EAC ina maana gani kuwepo?ni bora ikasambaratika tu
  5. Z

    Nimwombe Rais Samia awaondoe haraka wanajeshi wetu kule DRC Congo. Mnapigana na nchi ya EAC

    Sijajua wanajeshi wetu wanafia nini kule DR congo wakati sasa imejulikana bila shaka kwamba wanapigana na wanajeshi wa Rwanda ambayo ni nchi mwanachama wa EAC. SOLUHISHO ya vita ile ni kuiwekea vikwazo RWANDA na kuifukuza EAC haraka iwezekanavyo. Mama yetu mpendwa nakuomba uwaondoe haraka...
  6. Z

    Kama mzaha hoja ya Mbunge Shabibi inaweza kutungiwa Sheria kuongeza maumivu kwa wananchi

    YESU NA MARIA!!!!!!!!!Kwa hiyo nikatwe hela yangu ili niwachangie wahuni wavuta bangi,walevi ,wazinzi,wafiraji kisa tu wapate bima kwa wote? huu sasa ni ujinga uliyopitiliza.navunja laini zote
  7. Z

    Ningekuwa Rais Samia, leo ningemtumbua Makonda akiwa uwanja wa KIA kabla hajakanyaga ardhi ya Arusha

    Nimshauri rafiki yangu makonda ,ukiwa ARUSHA uwe makini na hao wapinzani uchwara .wanaweza kukupurizia kakitu fulani kwenye gari lako,bahasha au mikono .be careful man
  8. Z

    Amos Makalla Mwenezi mpya CCM Taifa, Ally Hapi Katibu Mkuu wa Umoja wa Wazazi

    Sentensi ya mwisho ni kwa Marais wote wa wili wanatekeleza ilani ya uchaguzi ya mwaka 2020-25.kwa Maana hiyo Rais Dr SSH anatumikia awamu ya Tano maana ndiyo ikoyotengeneza ilani hii ya mwaka 2020-2025.Au nakosea ndugu zangu??
  9. Z

    Hivi viongozi kutoka US, UK nk. wakitembelea Arusha watapokewa na RC Makonda?

    kwani wasipoenda ARUSHA nchi itakufa ? na je ni;lazima awapokee yeye? na nikiongozi gani wa nchi ulizozitaja huwa akitembelea nchi anapokewa na RC ?
  10. Z

    Jeshi la Polisi kuchunguza tukio la Makonda kutishia kumuua Salah

    NAONA WATU MUKO KAZINI KUHAKIKISHA JAMAA HAAPISHWI.ACHENI CHUKI ZENU
  11. Z

    Godbless Lemma, umeletewa kete ya kisiasa Arusha, cheza draft mpaka na huko afukuzwe, maana amekaribia mahali kitovu cha Ben Saanane kilizikwa

    Sidhani.maana Hata lema nasikia ni jizi sijui ni kweli? Aendelee kutabili tu.hapo Lema hafurukuti nakuambia
  12. Z

    Mkiboresha Katiba kifungu cha umri Mgombea Urais kisomeke miaka 30

    vijana wasiku hizi wanakula chipsi mayai ya kisasa unategemea wawe na akili kichwani kweli za kuongoza nchi?ni shiiida
  13. Z

    Mkiboresha Katiba kifungu cha umri Mgombea Urais kisomeke miaka 30

    kwanza vijana ndiyo walikuwa wanamponza JPM. Vijana wana mambo ya kitoto sana.URAIS tuanzie miaka 50.umri kama huu unakuwa umejifunza mengi na kuyaona mengi.sasa miaka 30 huyu ni adolescent anawaza wanawake tu kichwani.hana exposure huyu ni sawa na wahuni wengine.Mfano halisi ni zelensky...
  14. Z

    Mkiboresha Katiba kifungu cha umri Mgombea Urais kisomeke miaka 30

    yani umpe uraisi muhuni wa miaka 30 ?? common guys.huyu hata kubaree kiakili bado ndiposa tumpe nchi?
Back
Top Bottom