Recent content by ZALEMDA

  1. Z

    JamiiForums Tanzania Kuna jambo ambalo watanzania kwa sasa wanaomba litokee, likitokea, napendekeza lifuatiwe na hatua hizi

    1,3,5 inaitaji zaidi ya miaka miwili kulamilika.sasa si afadhali mama amalize hiyo mitano ?
  2. Z

    JamiiForums Tanzania Hivi ni kweli hakuna wa kumshauri Samia? Hii inasikitisha

    bajeti ilikuwa hairuhusu
  3. Z

    JamiiForums Tanzania GE2025 Polepole: Agosti 29, 2025 nitafafanua mambo kuhusu Kifo cha Magufuli; Rostam na Kikwete, Kashfa mbalimbali, deni la Taifa na wezi wanakoficha pesa

    nahisi umeshaanza kutuchosha mzee.hoja zako zaweza kuwa na mashiko lakini muda haupo kuweza kutatua changamoto za hoja zako.twende kwenye uchaguzin tu labda Mungu atainua wapinzania ndani ya bunge ili tupate katiba mpya
  4. Z

    JamiiForums Tanzania Kufungua makanisa ya Gwajima ni kuchezea moto unaoweza kuliteketeza taifa

    ni sawa kabisa.lakini kama yalikuwa mabaya kumbe sasa sisi wa leo tunatakiwa kuyakemea yasiwepo kabisa.hayapaswi kuhalalishwa
  5. Z

    JamiiForums Tanzania Kufungua makanisa ya Gwajima ni kuchezea moto unaoweza kuliteketeza taifa

    hata sijui umeongea nini.serikali inayo wajibu kuwaunganisha wananchi na siyo kuwagawa.kufungulia makanisa haya itakuwa mmojawapo ya njia ya upatanisho mhimu sana.kutoyafungulia kuna madhara makubwa kuliko uyasemayo.wakiristo hawana chuki kama mataifa uliyoyataja.sisi wakristo tunafundishwa na...
  6. Z

    JamiiForums Tanzania Wana CCM wenzangu tutulieni kwanza tupewe Mwongozo namna ya kumjibu Polepole. Tunaruka na kukanyagana wenyewe

    kuna mtu mmoja kaniambia eti pole pole ni wa mitandaoni wananchi wanachikiitaji ni maji ,shule na hospitali .nikashangaa,maana kule kwa GADAFI enti hizo vijana walikuwa mpaka wanapewa na serikali hela ya kuolea.lakini walikuja kushirikiana na mwamerika kuipindua serikili hiyo hiyo inayopa hela...
  7. Z

    JamiiForums Tanzania Wana CCM wenzangu tutulieni kwanza tupewe Mwongozo namna ya kumjibu Polepole. Tunaruka na kukanyagana wenyewe

    sidhani kama watakuelewa.Kiburi nikitu kibaya sana.tunawaza utafikiri tuko tanzania ya mwaka 2000
  8. Z

    JamiiForums Tanzania GE2025 Sasa ni rasmi uchaguzi wa 2025 "HAUTAKUWEPO"

    CCM yangu jamani!!! Hii ndiyo Nini.daaah!! Ila Polepole amezingua aisee
  9. Z

    JamiiForums Tanzania Pole pole kama wewe umeshiba tuache wengine tule. Usitaki mwagia mchanga kwenye sinia la wali. TUTAONANA WABAYA

    in which way? akiomba hadhi ya ukimbizi mtampata wapi? tungekaa naye chini tukamsikiliza kwa ajili ya vizazi vetu.huyu anaweza huwahariia wengi hasa sisi CCM
  10. Z

    JamiiForums Tanzania Polepole ni Mkwara mbuzi tu, anatishia nyau ila hana lolote

    Mtu Yuko nje ya nchi ,Anaongea vile,wewe hujui waliyoko nyuma yake ni wa aina gani,tunategemea misaada labda kwa waliyonyuma yake,uliona yaliyotokea Libya na kwengineko ,then unaona Hana jipya? My dear friend,anaweza kuwa na jipya jema au baya zaidi ambalo kuli contain itachukuwa miaka mingi...
  11. Z

    JamiiForums Tanzania Polepole: Nitaongea visivyostahili vinavyofanyika ndani ya CCM na Chama kitateteleka

    Tahadhali ni mhimu kuliko kudhania
  12. Z

    JamiiForums Tanzania CCM naona tunaka kutimiza kama yale yaliyotokea kwa Pharao wakati Mungu alipoamua kuwakomboa wana wa Israel

    mropokaji sasa ameanza kuropoka mazito. Hivi tunaamini kwamba hakuwezi kutokea mabadiriko ya kiungozi ambapo wanaotajwa watapoteza kila walichonacho?mabadiriko ya kiungozi yakitokea katika hali ya amani hata wastafu wanakuwa na uhakika wa ulinzi wa mali zao,na uhai wao.sasa kwa anayoyaongea...
  13. Z

    JamiiForums Tanzania Mrisho Mpoto: Suala la watu kupotea au kutekwa ni la kiusalama, inamuhusishaje Rais

    SHIDA NI PALE UNAPOKAA KIMYA BILA KUKEMEA MAOVU. UNAJUA MKUU ASIPOKEMEA MAOVU TAFSIRI YAKE INAKUWA SIYO NZURTI.USIWAACHE WATU WATAFSIRI ISIVYO MAWAZO YAKO
  14. Z

    JamiiForums Tanzania GE2025 Polepole: Luhaga Mpina hana sifa kikatiba na kikanuni kugombea Urais kwa tiketi ya ACT Wazalendo katika Uchaguzi Mkuu 2025

    ndiyo maana POLEPOLE anasema ndani ya CCM kuna wahuni.sasa unawezaje kuwa na kadi mbili za vyama viwili kama wewe siyo mhuni ili uweze kukikilagai chama kimojawapo.huwezi kuwatumikia mabwana wawili. KATIBA MPYA INATAKIWA IWAONDOE WAHUNI WANAMNA HII
Back
Top Bottom