huku duniani ni shida.yani ukitaka kuukaa maisha marefu usiguse maslahi ya watu.ndiyo maana wema huwa hawaishi miaka mingi.hiyo ndyo formula mjomba.
maswali ni mengi .je kwenye ajali hiyo alikuwa SOKOINE TU au na dreva alikufa? hivi kwnye msafara huwa anaingia kwnye gari mhusika tu na dreva wake?
ni kweli .wakenye walikuwa wanashirikiana ana M23 na PK kuendelea kuiba madini ya congo.
lakini tuwachekea nyani iko siku tutaokoata mabua. kama DRC congo haiko salama nchi za EAC haziko salama kiivyo.take my wards
hapa shida ni kwamba hilo kundi la M23 ni la watusi asili ya Rwanda ,burundi na uganda wanatafuti kujitenga na DRC.kwa hiyo kagame anawatetea wenzake kama alnavyokiri kwenye hiyo clip
sasa hapo umejibu nini sasa? tumia akili angalau kidogo
wewe unaona ni akili ncho mwanachama wa EAC kupigana na nchi ya EAC ? KAGAME anapigana congo DRC ambayo ni nchi mwanachama wa EAC .sasa EAC ina maana gani kuwepo?ni bora ikasambaratika tu
Sijajua wanajeshi wetu wanafia nini kule DR congo wakati sasa imejulikana bila shaka kwamba wanapigana na wanajeshi wa Rwanda ambayo ni nchi mwanachama wa EAC.
SOLUHISHO ya vita ile ni kuiwekea vikwazo RWANDA na kuifukuza EAC haraka iwezekanavyo.
Mama yetu mpendwa nakuomba uwaondoe haraka...
YESU NA MARIA!!!!!!!!!Kwa hiyo nikatwe hela yangu ili niwachangie wahuni wavuta bangi,walevi ,wazinzi,wafiraji kisa tu wapate bima kwa wote? huu sasa ni ujinga uliyopitiliza.navunja laini zote
Nimshauri rafiki yangu makonda ,ukiwa ARUSHA uwe makini na hao wapinzani uchwara .wanaweza kukupurizia kakitu fulani kwenye gari lako,bahasha au mikono .be careful man
Sentensi ya mwisho ni kwa Marais wote wa wili wanatekeleza ilani ya uchaguzi ya mwaka 2020-25.kwa Maana hiyo Rais Dr SSH anatumikia awamu ya Tano maana ndiyo ikoyotengeneza ilani hii ya mwaka 2020-2025.Au nakosea ndugu zangu??
kwanza vijana ndiyo walikuwa wanamponza JPM. Vijana wana mambo ya kitoto sana.URAIS tuanzie miaka 50.umri kama huu unakuwa umejifunza mengi na kuyaona mengi.sasa miaka 30 huyu ni adolescent anawaza wanawake tu kichwani.hana exposure huyu ni sawa na wahuni wengine.Mfano halisi ni zelensky...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.