GE2025 Sasa ni rasmi uchaguzi wa 2025 "HAUTAKUWEPO"

GE2025 Sasa ni rasmi uchaguzi wa 2025 "HAUTAKUWEPO"

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Boston12

JF-Expert Member
Joined
Feb 23, 2025
Posts
506
Reaction score
1,677
Habari ndio hiyo.
CCM na mabilioni Yao ya uchaguzi UCHAFUZI hayaendi kuzuia hili.
Project ACT na CHAUMA ilishafeli kabla ya kuanza, CCM kuendelea kuwapa pesa vyama hivyo ili kufanya showoff za kujaza watu kwenye mikutano Yao Hilo nalo ni sawa na kusukuma upepo. Kwa maana Kila mtu Sasa anajua CCM ndio WAHAINI rasimi wanaozuia mifumo ya haki ya wananchi. Kwa kuweka viongozi wasio na sifa na takwa la wananchi.

TEC na makanisani ya kikristo tunasubiri muongozo wenu sisi waumini namna ya kutoshiriki uchaguzi UCHAFUZI huu.
 
Mama kwa heri tutakutana mtaani.

Jeshi karibuni muandae nchi ikae kama wananchi wanavyota na katiba ya nchi iwekewe ulinzi wa kutosha asitokee kirusi kama CCM akaiteka na kuuwa raia.

Muliro umekula vya kutosha ukae pembeni ukaombe msamaha kwa familia ulizowatesa na kuuwa.
 
Wale wajinga waliokimbilia CHAUMMA Kwa kuhaidiwa vyeo wamebaki wanashangaa Kwa namna upepo wa siasa ulivyogeuka.
Polepole amekuja kubadilisha kilakitu kuelekea uchaguzi mkuu.

CCM watapata shida Sana baada ya uchaguzi kwa kifupi hiyo miaka mitano itakuwa migumu mno
 
Mama kwa heri tutakutana mtaani.

Jeshi karibuni muandae nchi ikae kama wananchi wanavyota na katiba ya nchi iwekewe ulinzi wa kutosha asitokee kirusi kama CCM akaiteka na kuuwa raia.

Muliro umekula vya kutosha ukae pembeni ukaombe msamaha kwa familia ulizowatesa na kuuwa.
Matumaini ya watanzania yamebaki kwa JWTZ.
 
CCM yangu jamani!!! Hii ndiyo Nini.daaah!! Ila Polepole amezingua aisee
 
Ufunuo 22:12
"Tazama, naja upesi; na ujira wangu u pamoja nami, kumlipa kila mtu kama kazi yake ilivyo."
 
Back
Top Bottom