For me atleast nyerere alikuwa patriot tofauti na Mandela 26 yrs prison alafu it went in vein maana south africa hadi Leo bado wanalia na apartheid policy
Usiniambie baada ya haya unataka kurudi kwa mumeo aisee songa mbele kama hakujua thamani yako Jana Leo ataijuaje zaidi atakurudisha kwenye maumivu Yale yale usijaribu piga moyo konde tafuta vibarua vingne zaidi
Wew unamuonaga wapi kila saa utujuze na sie tukamuone, lakini Mimi mwenyew ni mwanamke nikishinda home nikifua nabadili nikilala mchana nikaoga nabadili Dera langu nikipika nikimaliza nabadili sembuse yeye raisi? Acha aenjoy life is too short
No one is perfect, but what I understand is atleast we should all consider humanity, sympathy and empathy to our fellow human, we should think before we act and ask our selves am I doing the ryt thing to my fellow what if it was me would I be satisfied with those actions? Hope the world will be...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.