Recent content by Zaiidyao

  1. Zaiidyao

    Nataka kufungua duka la vifaa vya pikipiki

    Habari zenu ndugu zangu, nina mpango wa kuanzisha duka la vifaa vya pikipiki, ningependa kujuzwa mengi kuhusiana na biashara hii. Binafsi hadi sasa nina mtaji wa 1m. Karibuni.
  2. Zaiidyao

    Ugonjwa wa Pumu (Bronchial Asthma): Chanzo, dalili na tiba

    Wakuu nasumbuliwa sana na ugonjwa wa pumu au mzio, kuna mda ikipanda napumua kwa shida sana na hua inasababishwa na vitu flan hivi mfano baadhi ya vyakula nikitumia kama dagaa, bamia but hivyo vitu nimeacha saivi. Ila mawingu ndio yananitesa maana wingu likifunga basi pumu hunijia. Naombeni...
  3. Zaiidyao

    Changamoto za Ajira Portal

    Shukrani sana
  4. Zaiidyao

    Changamoto za Ajira Portal

    Aah sawa
  5. Zaiidyao

    Changamoto za Ajira Portal

    Huu ujumbe umekua ukitokea pindi nikitaka kufanya maombi ya kazi hata katika post ambazo zipo katika category yangu. Nimejiunga mwaka huu mwanzoni mwa january, profile yangu inasoma 92%. Naomba ufafanuzi kwa wenye uzoefu na haya mambo.
  6. Zaiidyao

    Changamoto za Ajira Portal

    Hii changamoto hata mm inanikuta, inaandika hivi hivi sijajua shida nn apo
Back
Top Bottom