jitulawatu
Member
- Aug 9, 2020
- 52
- 49
Sawa asante sana kiongozi tunasubiri mrejeshodawa mbadala zipo, mie ninafahamu ya ngazi ya mtoto ila kwa mtu mzima ngoja niulize kwa wakuu then ntaleta mrejesho
Sawa asante sana kiongozi tunasubiri mrejeshodawa mbadala zipo, mie ninafahamu ya ngazi ya mtoto ila kwa mtu mzima ngoja niulize kwa wakuu then ntaleta mrejesho
Huyu jamaa haamki tena bwanaKUMEKUCHA...
Mkuu sijapata jibu la uhakika sana zaidi nimeambiwa kwa mtoto ni rahisi kutibika kuliko kwa mtu mzima, ikitokea nikipata anaefahamu dawa ya uhakika nitaleta mrejesho ili kusaidia wahanga.Sawa asante sana kiongozi tunasubiri mrejesho
Mkuu nimefanikiwa kupata moja ambayo ni baada ya kuuuliza sana, siwezi iweka hadharani maana binafsi sijaithibitisha japo mlengwa kanihakikishia iko poa na hain amadhara kiafya, so mlengwa anaweza nicheck nikampa maelezo yoteSawa asante sana kiongozi tunasubiri mrejesho
Wewe una Severe Persitent Asthma.Wakuu nasumbuliwa sana na ugonjwa wa pumu au mzio, kuna mda ikipanda napumua kwa shida sana na hua inasababishwa na vitu fulan hivi mfano baadhi ya vyakula nikitumia kama dagaa, bamia but hivyo vitu nimeacha saivi....
Usitegemee kabisa kupona kwa dawa Labda kwa maombi ya Mungu pumu ni kujikibal tu kuwa unayo na kuepuka vile ambavyo vinaweza kusabbisha attack mfano vyakula, dawa fulani hivi zile za group la non steroid inflammatory mfano ibuprofen declofanic aspirin na dawa zote zenye content ya non steroid, mavumbi, shellfish, moshi, vitu baridi, na vyenginevyo.Wakuu nasumbuliwa sana na ugonjwa wa pumu au mzio, kuna mda ikipanda napumua kwa shida sana na hua inasababishwa na vitu flan hivi mfano baadhi ya vyakula nikitumia kama dagaa, bamia but hivyo vitu nimeacha saivi...
Pole sana kwa hali unayopitia Mungu akusaidie upate ufumbuzi na kupona.Wakuu nasumbuliwa sana na ugonjwa wa pumu au mzio, kuna mda ikipanda napumua kwa shida sana na hua inasababishwa na vitu flan hivi mfano baadhi ya vyakula nikitumia kama dagaa, bamia but hivyo vitu nimeacha saivi...
Asante sanaPole sana kwa hali unayopitia Mungu akusaidie upate ufumbuzi na kupona.
Pole,Wakuu nasumbuliwa sana na ugonjwa wa pumu au mzio, kuna mda ikipanda napumua kwa shida sana na hua inasababishwa na vitu flan hivi mfano baadhi ya vyakula nikitumia kama dagaa, bamia but hivyo vitu nimeacha saivi....
Maradhi ya pumu hakuna dawa ya hospitali itakayo weza kukuponyesha ukapona kabisa utapata unafuu.Wakuu nasumbuliwa sana na ugonjwa wa pumu au mzio, kuna mda ikipanda napumua kwa shida sana na hua inasababishwa na vitu flan hivi mfano baadhi ya vyakula nikitumia kama dagaa, bamia but hivyo vitu nimeacha saivi...
Naomba tiba ya sikio moja kuziba baada ya maji kuingia. Uwezo wake wa kusikia pia umepungua. Nasikia uzito Sana katika Hilo sikio lililoingia maji.Maradhi ya pumu hakuna dawa ya hospitali itakayo weza kukuponyesha ukapona kabisa utapata unafuu. Zipo tiba za asili za kutibu maradhi ya pumu na utaweza kupona kabisa maradhi yako nitafute kwa wakati wako nipate kukutibia maradhi yako.
Nenda kalisafishe hilo sikio lako kwanza ikiwa hujapona nitakwambia kitu cha kufanya.Naomba tiba ya sikio moja kuziba baada ya maji kuingia. Uwezo wake wa kusikia pia umepungua. Nasikia uzito Sana katika Hilo sikio lililoingia maji.
Asante
tangu maji yaingie imepita muda gani?Naomba tiba ya sikio moja kuziba baada ya maji kuingia. Uwezo wake wa kusikia pia umepungua. Nasikia uzito Sana katika Hilo sikio lililoingia maji.
Asante
Leo siku ya 4. Sikio haliumi Ila sipo comfortable kabisa. Uwezo wa kusikia kwa sikio Hilo pia umepungua.Tangu maji yaingie imepita muda gani?