Nashukuru Mkuu; Kwanza uaminifu wa wauza hizo bidhaa upoje? wanaweza wakakupa bidhaa fake bila wewe kutaka?
Mfano nikija nanunua dukani moja kwa moha au naweka order kwanza?
Nikitaka order yangu ya ubora zaidi inawezekana na gharama inakua nafuu?
Suala la wizi au ujambazi utapeli huko likoje...
Mimi ninampango wa kwenda China kununua Spares za piki piki na kuja kuuza jumla na reja reja dukani kwangu nani anauzoefu na biashara hii haswa anayeenda china
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.