Pole sana ndg,wanaokejeli ulichoandika hawajui maumivu unayopitia..kubwa jipe moyo mkuu,potezea na achana na huyo kahaba Mungu atakupa mfariji mwema zaidi ya huyo kibaka
Kwa wakatoliki waliosali, Injili ya leo ilisomwa kutoka Mathayo 22:15-21.
Ktk Injili hiyo kuna pahala Yesu aliwajibu Mafarisayo kuwa,
...basi mpeni Kaisari yaliyo ya kwake Kaisari na Mungu mpeni yaliyo ya kwake yeye.
Nawatakia jumapili njema ya Umisionari wapendwa.
Nimefarijika na kufurahia sana wasilisho la leo la Tume ya Haki Jinai lilifanywa na Jaji Mkuu mstaafu Mh.Othman Chande.
Juu ya yote nimependezwa na mapendekezo yaliyotolewa na approach aliyotumia Mh.Rais kuyatafutia ufumbuzi.
Tendo zima na dhamira ya Mh.Rais ni ya kiutu na kibinadamu,maana...
You have been too friendly H.E Kenyatta,rethink of your prudence,the world is aware now of your patience, act upon,detain those who temper with your mandate!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.