Recent content by zado-blue

  1. zado-blue

    Tuliowahi kula wasanii wakubwa wakubwa tujuane

    Iyo sasa ni 4some mast@ na pande moja la jamaa ukawakilisha taifa kijasiri🙂🙂
  2. zado-blue

    According to your ex, what is wrong about you?

    Na malengo makubwa nakujiskia sana nikiwa nazo yakuwa nta mnyanyasa niki zipata.
  3. zado-blue

    Nimepata demu mkali balaa ila ana majini. Naomba ushauri wenu

    Acha uoga mkuu una ichapa vyema yakipanda ndo vizuri we peleka moto Acha uoga mkuu we ichape yakipanda ndo vizuri unaongeza midadi wife ali letaga hali iyo niliichapa vyema mpaka yaka toweka usiku wa manane.
  4. zado-blue

    Shinyanga: mkuu Wa mkoa, mkuu Wa Wilaya na Viongozi Wa kata shinyanga mjini,Je mnataka kizazi Cha mabinti wote waingie kwenye biashara ya Ngono?!!

    Kumbe ni wewe bwana nilipita pale bakurutu mara moja nikaona una niangalia nilienda kuchetua kimoja m@sta nikupe na chimbo jingine liko Relini kama unaelekea kizumbi.
  5. zado-blue

    Ipi sababu ya kibaiologia inasababisha walemavu wa akili kuwa na maumbile ya kiume makubwa ukilinganisha na watu wa kawaida?

    labda nikutokana na side kichwa kuwa wazi muda wote pengine lkn kwa % kubwa wengi wao huwa na maumbile makubwa. (''kuna watu naona wanauliza ukikutana na mtu mwenye shida ya afya ya akili unaangalia mjegeje mtu yuko uchi ni ajabu lazima umkague'' )
  6. zado-blue

    Ingiza $1 kila siku kirahisi kabisa bila kufanya kazi

    stuka mkuu hamna cha kweli hapo fanya kazi ya halali
  7. zado-blue

    KERO Kelele usiku kucha Mbweni Mpiji-Ungindoni sababu ya vigodoro na pub tumezichoka, tumeripoti serikali za mtaa lakini kazi bure

    jisogeze mbweni teta mkuu uko mpiji ni changanyikeni hao wa swahili wata kuroga tu ukifanya move kuwashitaki.
  8. zado-blue

    Kila mke wangu akifanya madudu, namkumbuka Ex wangu alikua na akili nikamuacha maana hakua mzuri

    mkuu hayo madudu ni part ya familia yako mbona wewe una madhaifu yeye ana vumilia?
  9. zado-blue

    Hivi utapeli wa namna hii huwa inakuwaje?

    haya mambo yapo mkuu kuna kipindi niliwahi kufanya biashara ya fedha, alikuja jamaa yuko na haraka sana aka omba niweke pale elfu ishirini nimtumie mtu wake kisha na kusepa zake nikafanya vile kwa number ya simu alio iacha pesa yake nikaweka ndani ya droo kulikuwa na milioni moja ndani yake...
  10. zado-blue

    Baadhi ya abiria treni ya SGR wadaiwa kuihujumu TRC, nauli haziendani na safari zao

    sioni makosa ya wasafiri kwani before project ma swala kama hayo hawakuwaza? watu wengi wababaishaji sana piga mbwaa!
Back
Top Bottom