Ukikutana na fundi wa magari anatoa kifaa kwenye gari ukimuuliza anasema hakuna tatizo hapo umepeleka gari kwa muharibifu na sio garage
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi serikali imejiuliza kwa nini watanzania wanafurahia miradi ya kiserikali inapokwama au kuharibika ?? Kuna chuki ianapandikizwa viongozi fungueni macho mpo kwenye usingizi mzito
Sent using Jamii Forums mobile app
Kushindwa kusimamia ukweli eti kwa misingi kuwa ni usomi uliotukuka hautakuwa na tofauti na baadhi ya maprofesa wa Tanzania wanaokana misimamo yao ya awali walipokuwa upande wa upinzani
Hata maaskofu waliohusika na mauwaji ya kimbari huko Rwanda nao walikuwa ni wasomi but they have failed to...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.