Twaweza bwana wanasema lowasa anakulibalika na vijana sana,wakati huohuo vijana ndio wengi waliojiandikisha na ndio wapiga kura halafu eti magufuli atashinda!!!
Msimlaumu jamaa huyo ni kijana wa Lowasa kinachofanyika hapo ili ccm wakuamini wewe sio msaliti unatakiwa umtukane lowasa ila faida anayopata ni Msukuma kumletea Lowasa habari za jikoni.
Hii nchi ni wananchi hakuna mtu mwenye hatimiliki na hii nchi viburi na kauli zenye maudhi zitawaponza hata mzee kingunge alishasema uongozi ni dhamana tu.
Jamani swala la richmond tushaambiwa na Lowasa no la nani na mwenye ushahidi wa yeye kuhusika aende mahakamani lakini ni majuzi tu pesa zetu za escrow zimeliwa na watu hao hao wameteuliwa tena kugombea ubunge.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.