Kwan magufuri hizo barabara anajenga kwa pesa zake, mbona watu mnakomaa na CCM wamewapa nn 50 yrs bado nchi inatatizo la Hospital,maji,umeme,elimu na wakati raslimal zipo nyingi tu, Bora huyo huyo Lowasa aingie chin ya UKAWA lengo letu ni kuing'oa CCM that's only